Chakula gani unachokipenda na usichokipenda?

af8a51c0090d60fcba8475527d6444ab.jpg
Mimi napenda saaana hii
 
Duh mi ata sijui napenda nini hasa, ngoj nimuige mtu umu ndani nsije nikaulizwa siku moja nikatoa macho
 
Napenda pilau, wali maharage, ndizi nyama za kichagga, ugali na mboga za majani zilizochanganywa na nyama, wali samaki, wali nyama/kuku, makande ya nazi siku moja moja, ugali na dagaa zenye bamia na nyanya chungu,

kwa breakfast mkate na mayai ya kukaanga (spanish), sausage, vitumbua, maandazi na chai ya tangawizi, ndizi mzuzu na chapati maji/pan cake. Juice napendelea mixed fruits kama embe, passion, nanasi.
Unafaa kukaa na mm vyoote napendelea
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom