miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,822
- 48,962
ndiyo mkuu na wewe husahahu ?We si ndo uliiba samaki ukala upande mmoja ukaugeuza kuficha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo mkuu na wewe husahahu ?We si ndo uliiba samaki ukala upande mmoja ukaugeuza kuficha?
We unajuaje ikiwa mi ni ke au me? Alafu ugali sehemu nyingine duniani haupo, usikariri kila mtu yuko IkwiririUtakua una upungufu wa nguvu za kiume tu wewe, maana haiwezekani mwanaume usipende ugali.... So wewe ni jipu tu sasa maana hakuna namna.
Si hao wa ulaya wanakula vyakula mbadala ambavyo sisi hatuna?We unajuaje ikiwa mi ni ke au me? Alafu ugali sehemu nyingine duniani haupo, usikariri kila mtu yuko Ikwiriri
Unafaa kukaa na mm vyoote napendeleaNapenda pilau, wali maharage, ndizi nyama za kichagga, ugali na mboga za majani zilizochanganywa na nyama, wali samaki, wali nyama/kuku, makande ya nazi siku moja moja, ugali na dagaa zenye bamia na nyanya chungu,
kwa breakfast mkate na mayai ya kukaanga (spanish), sausage, vitumbua, maandazi na chai ya tangawizi, ndizi mzuzu na chapati maji/pan cake. Juice napendelea mixed fruits kama embe, passion, nanasi.
Pole xsanaMm siupendi ugali khaaaa
Pole xsana