Loshoro is the bestLoshoroo, ngararimo, anjero, nyama ya kondoo, ghee
Ugali Mtama = Unafanana na kinyesiMambo vipi wanaJF natumai mko poa. Kwenye misosi kuna kuwa na kile chakula una hamu nacho au tu umekuta sehemu kimepikwa kwasababu hujawahi kula unaamua kula huo msosi kwa mara ya kwanza lakini chakula hicho kina kushinda kabisa hata kukupelekea kujisikia vibaya.
Mimi miaka ya nyuma nilikuwa nasikiaga kuhusu supu ya kongoro siku na mimi nikaamua nijue ikovipi hiyo supu nikaenda sehemu nzuri tu nikaulizia nikaambiwa ipo basi nikaletewa pale nikaanza kuipiga lakini kidogo tu nilikula kama vipande viwili tu vya ile nyama nikajisikia kuchefuchefu vibaya sana hata hiyo nyama kumeza haimezeki nikaacha supu karibia yote pale hadi leo hii sitaki tena kusikia kuhusu hiyo supu
Nyingine hii ilikuwa ni juisi ile ya rozela nilikuta imetengenezwa sehemu nikanywa glasi moja ilikuwa na ladha nzuri tu lakini baada ya hapo nilijisikia vibaya sana kama kizunguzungu mara kama mwili unataka ku vibrate mara jasho linatoka japo kulikuwa na feni yaani ilikuwa ni shida mpaka leo nikiiona hiyo juisi naipitia mbali kabisa. Hata juisi ya miwa ilinishinda kabisa ni bora nile muwa kama muwa
Vipi kwa upande wenu wadau ni kitu gani ulikula lakini baada ya hapo hutaki tena kukila.
Hahahaha ile ya msiban bhana kuna kakiungo wanaungaga nako inanukia vizuri hatariEwaaa.. ila ya misibani inakuwaga tamu hata kama imekatwa ovyo ovyo sijui kwanini..
kideri kipo poa sana
Ndo kinaitwa hivyo? Aaah mie kilinishinda.kideri kipo poa sana
maziwa na ndizi wanaweka?Ndo kinaitwa hivyo? Aaah mie kilinishinda.
Kidheri si kinapikwa kwa mahindi mabichi na maharage?
Hiyo ya ndizi na maziwa ya mgando ndio ilinishinda.maziwa na ndizi wanaweka?
Finally!Sausage.
Kmmmk sausage is overrated
Duh....KFC ni mgahawa ambao wanauza hao kuku wa kupaka na sio KFC ni jina la kuku, maana wanazo aina nyingi za vyakula sio kuku peke yakeSiwezi kula takataka fulani za kuku waliozidishwa chumvi zinaitwa KFC.
Pole MkuuPizza, Burger, Shawarma, beef lasagna, Kaa, mlenda wa unga, Mchunga, Senene.
Kitimoto
daaaaahYan nimejaribu kuwaza ktk vyote nilivyokula naona hamna hata kimoja kilichonishinda
DahSiwezi kula takataka fulani za kuku waliozidishwa chumvi zinaitwa KFC.