Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

Choroko=Hii ilinikuta maeneo flani na hakukuwa option ya mboga nyingine ile kujaribu tu nikaamua kukaa na njaa.

Juisi ya Miwa=Ilikuwa Cafeteria chuoni, Ladha niliyoipata ni tofauti na matarajio na nilihisi Muuza juice kanifanyia makusudii, but wat for?!...juisi ya miwa ni mbaya tu.

Senene= Nilona kinyaa kula baada ya kushawishiwa sana nikala, ni watamu sana ila baadae nikajilaumu nimekula vipi panzi wale, sitarudii aki, Mwanza hiyo.

Ugali wa mhogo/udaga et al=Kwa bibi hiyo, Nilikula tonge moja tu mpango wa wali ulifanyika kumridhisha mjukuu.
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom