Tumboni unavitofautisha? Unapokunya unavitofautisha?Parachichi kuweka juu ya wali kula Kama mboga, au mlenda kula na wali, au kuchanganya mboga kwenye bakuli moja, mf dagaa, maharage, tembele pamoja alafu kula bila kutofautisha, nimeshindwa hii vitu.
Tumboni unavitofautisha? Unapokunya unavitofautisha?
ilikuwa ni kwasababu waliweka viagra kwenye supu, hivyo mapigo ya moyo wako yalipanda yaani pressure ilipanda mzee. pweza ni chakula kizuri tu.Nilikunywa supu ya pweza 2012 ila ghafla kichwa kikaanza kuuma, mwili unaisha nguvu, tumbo linaunguruma, jasho linanitoka na kuanza kutapika,
Mpaka leo nikimuona pweza napita kushoto.
umeamua useme ukweliiiKwa mimi kindinda, hakuna chakula kinachonishinda aisee. Japokua mimi ni muislam ila nguruwe nakula
Tuko pamoja ktk ili. Njugu mawe ni mbayaNjugu Mawe aisee sijatamani kula tena.
Tuko pamoja ktk ili. Njugu mawe ni mbaya
Vipi jamii nyingine za maharage kama choroko, mbaazi , kunde ?Kabisa wife anayapenda lakini kwangu hata aunge vipi siyali na pia maboga au magimbi au mihogo ya kuchemsha yaani hivyo vyakula vimenipitia kushoto.
Maharage yakiungwa na nazi na mbaazi iliyochanganywa kwenye kisamvu cha nazi napenda!! Kunde na Choroko tupa kule.Vipi jamii nyingine za maharage kama choroko, mbaazi , kunde ?