... .chakula cha usiku kwenye GIZA..

NG'ADA

Senior Member
Sep 2, 2011
152
15
wangu nikiwa nae kwenye mpango mzima wa chakula cha usiku kwa watu wazima, hataki kabisa kuona taa inawaka,..na mm napenda iwake taa kiasi kwamba ninaona kila kitu kwa macho yangu...ishu hii ntaisolve vip?na yuko serious kabisa nikiwasha taa cpati kitu na anasema tuache na tulale...
 
tafuta taa romantic,mwenzio akifumba jicho akifungua anakutana na taa kama ya kuchambulia pamba inamuumiza macho. afu inawezekana na kaaibu flani. kuna taa zina mwanga hafifu wa rangi tofauti. kuna taa pia unapunguza mwanga kutokana na uhitaji.
 
wangu nikiwa nae kwenye mpango mzima wa chakula cha usiku kwa watu wazima, hataki kabisa kuona taa inawaka,..na mm napenda iwake taa kiasi kwamba ninaona kila kitu kwa macho yangu...ishu hii ntaisolve vip?na yuko serious kabisa nikiwasha taa cpati kitu na anasema tuache na tulale...

Tafuta taa za rangi rangi zile kuwe na kagiza kiduchu
 
wangu nikiwa nae kwenye mpango mzima wa chakula cha usiku kwa watu wazima, hataki kabisa kuona taa inawaka,..na mm napenda iwake taa kiasi kwamba ninaona kila kitu kwa macho yangu...ishu hii ntaisolve vip?na yuko serious kabisa nikiwasha taa cpati kitu na anasema tuache na tulale...

na wewe kuwa serious, usisimamishe mlingoti gizani, hapo mtaenda ngoma droo
 
........badilisha hiyo taa ya kuchimbia madini,mambo yatakuwa sawa ukiweka yenye mwanga hafifu na yenye rangi!!!mwanga mkali na wewe wa nini?unatafuta sindando?kkhaa

haha ahaha dah ndio maana naipenda jf
 
tafuta taa romantic,mwenzio akifumba jicho akifungua anakutana na taa kama ya kuchambulia pamba inamuumiza macho. afu inawezekana na kaaibu flani. kuna taa zina mwanga hafifu wa rangi tofauti. kuna taa pia unapunguza mwanga kutokana na uhitaji.

hah haha haaa mbavu zangu mieeee....taa ya kuchambulia pamba duu....lazima atake gza!!
 
wangu nikiwa nae kwenye mpango mzima wa chakula cha usiku kwa watu wazima, hataki kabisa kuona taa inawaka,..na mm napenda iwake taa kiasi kwamba ninaona kila kitu kwa macho yangu...ishu hii ntaisolve vip?na yuko serious kabisa nikiwasha taa cpati kitu na anasema tuache na tulale...

nunua KOROBOI

mkitaka ku doo unaliswasha koroboi lako unaliweka uvunguni .....mwanga utakuwa hafifu asi utakuwa unatokea chini...ahh bmkubwa atalalamika teana na taa zako za mereran..
 
tafuta taa romantic,mwenzio akifumba jicho akifungua anakutana na taa kama ya kuchambulia pamba inamuumiza macho. afu inawezekana na kaaibu flani. kuna taa zina mwanga hafifu wa rangi tofauti. kuna taa pia unapunguza mwanga kutokana na uhitaji.
Hahahaha! King'asti ndo nini kuvunja wenzio mbavu? Taa ya kuchambulia pamba!!! Nimecheka sana...lol
 
........badilisha hiyo taa ya kuchimbia madini,mambo yatakuwa sawa ukiweka yenye mwanga hafifu na yenye rangi!!!mwanga mkali na wewe wa nini?unatafuta sindando?kkhaa
Teh, teh, teh! Idumu jf na memba wake wote!..
 
kuna mtu unakuta ndani kaweka bulb sijui ya watts 1000? sio joto na nahitaji sun goggles kabisa! acha ngeleja apandishe bei ya umeme tutie adabu,kha!
Hahahaha! King'asti ndo nini kuvunja wenzio mbavu? Taa ya kuchambulia pamba!!! Nimecheka sana...lol
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom