Chakula cha ubongo na Peter Msigwa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,641
155,003
43% ya Ndege wale waliopaswa kuruka hawawezi kuruka, nchini New Zealand.

Idadi kubwa ya hawa ndege wamelemaa kwa sababu kumekuwa na upungufu mkubwa wa wanyama wanaokula wanyama Yaani (Predators)

Tatizo hili limekuwa kwa muda mrefu kiasi kwamba ndege wamekuwa wanajenga viota vyao ardhini.

Ndege hawa hata wale wenye asili ya kuruka wamelema kwa sababu hawapati challenge kutoka kwa predators

Moja ya jambo linalochangia umaskini katika bara la Africa ni chakula cha bure.

Katika Bibilia kitabu cha kutoka kila kijana aliyefikisha miaka ishirini alipaswa kwenda vitani.

Leo majumbani mwetu tuna vijana wa miaka 20, 25,27,30 ambao tunaendelea kuwapa chakula cha bure (Free food)

Kijana akipata chakula cha bure hawezi kufikiri akishindwa kufikiri hawezi Kuwa productive.

Hata kuku kuna wakati huwa anaachana na vigaranga vyake.

Nini maoni yako.
 
Ni wivu tu...

Mimi nina miaka 27, bado nipo home na sina mpango wa kuhama.

Namiliki gari ndogo aina ya Toyota Vanguard.

Bank account inasoma Tsh 300+ M

Sina mpango wa kujenga, baba ana nyumba 4, moja ndio tunaishi tena ni ghorofa na zilizo bakia tuna kula kodi tu.

Mwakani natarajia kufunga ndoa, baba ameniahidi kunimilikisha nyumba 2 kati ya hizo 4, na bila kusahau baba ana mtoto mmoja tu (mimi).

Huwa hatukai bure tu, baba anauza vifaa vya ujenzi K.koo ( jumla) na mimi nipo Mnz.mmoja kwenye duka letu la stationery (jumla).
Acheni kutudharau tunaoishi nyumbani kwa wazazi licha ya umri mkubwa.
 
Ni wivu tu...

Mimi nina miaka 27, bado nipo home na sina mpango wa kuhama.

Namiliki gari ndogo aina ya Toyota Vanguard.

Bank account inasoma Tsh 300+ M

Sina mpango wa kujenga, baba ana nyumba 4, moja ndio tunaishi tena ni ghorofa na zilizo bakia tuna kula kodi tu.

Mwakani natarajia kufunga ndoa, baba ameniahidi kunimilikisha nyumba 2 kati ya hizo 4, na bila kusahau baba ana mtoto mmoja tu (mimi).

Huwa hatukai bure tu, baba anauza vifaa vya ujenzi K.koo ( jumla) na mimi nipo Mnz.mmoja kwenye duka letu la stationery (jumla).
Acheni kutudharau tunaoishi nyumbani kwa wazazi licha ya umri mkubwa.
Kiduku Lilo ni nduguyo?
 
Ni wivu tu...

Mimi nina miaka 27, bado nipo home na sina mpango wa kuhama.

Namiliki gari ndogo aina ya Toyota Vanguard.

Bank account inasoma Tsh 300+ M

Sina mpango wa kujenga, baba ana nyumba 4, moja ndio tunaishi tena ni ghorofa na zilizo bakia tuna kula kodi tu.

Mwakani natarajia kufunga ndoa, baba ameniahidi kunimilikisha nyumba 2 kati ya hizo 4, na bila kusahau baba ana mtoto mmoja tu (mimi).

Huwa hatukai bure tu, baba anauza vifaa vya ujenzi K.koo ( jumla) na mimi nipo Mnz.mmoja kwenye duka letu la stationery (jumla).
Acheni kutudharau tunaoishi nyumbani kwa wazazi licha ya umri mkubwa.
Nafikiri mleta uzi alikuwa anawazungumzia wale wanaokaa nyumbani kwa sababu uwezo wa kupanga nyumba au kujenga hawana kwa sababu ya kipato kidogo, au wamebweteka hawaumizi vichwa kutafuta, Wana enjoy kuwa kwenye comfort zone, ukwasi wa wazazi, hawana jinsi, na hawawezi kujitegemea.

Lakini kuna kukaa nyumbani kwingine,mfano kama wanavyoishi wahindi,au hata baadhi ya wenyeji wa Zanzibar,unakuta Mzee ananyumba kubwa au ghorofa,na hapo kila mtoto ana sehemu yake,Mzee anamiriki biashara kubwa,na watoto wanafanya kazi kwenye biashara hiyo.

Kwahiyo familia inaishi pamoja, baba, mama, wakwe, watoto, wajukuu

Hii kitu ni nzuri sana. Kama familia inamslengo ya kujenga empire ya biashara.

Hata Bakheresa anaishi hivyo na familia yake.

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Ni wivu tu...

Mimi nina miaka 27, bado nipo home na sina mpango wa kuhama.

Namiliki gari ndogo aina ya Toyota Vanguard.

Bank account inasoma Tsh 300+ M

Sina mpango wa kujenga, baba ana nyumba 4, moja ndio tunaishi tena ni ghorofa na zilizo bakia tuna kula kodi tu.

Mwakani natarajia kufunga ndoa, baba ameniahidi kunimilikisha nyumba 2 kati ya hizo 4, na bila kusahau baba ana mtoto mmoja tu (mimi).

Huwa hatukai bure tu, baba anauza vifaa vya ujenzi K.koo (jumla) na mimi nipo Mnz.mmoja kwenye duka letu la stationery (jumla).
Acheni kutudharau tunaoishi nyumbani kwa wazazi licha ya umri mkubwa.
Nifanyie donation kiaina mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wivu tu...

Mimi nina miaka 27, bado nipo home na sina mpango wa kuhama.

Namiliki gari ndogo aina ya Toyota Vanguard.

Bank account inasoma Tsh 300+ M

Sina mpango wa kujenga, baba ana nyumba 4, moja ndio tunaishi tena ni ghorofa na zilizo bakia tuna kula kodi tu.

Mwakani natarajia kufunga ndoa, baba ameniahidi kunimilikisha nyumba 2 kati ya hizo 4, na bila kusahau baba ana mtoto mmoja tu (mimi).

Huwa hatukai bure tu, baba anauza vifaa vya ujenzi K.koo ( jumla) na mimi nipo Mnz.mmoja kwenye duka letu la stationery (jumla).
Acheni kutudharau tunaoishi nyumbani kwa wazazi licha ya umri mkubwa.
Ee ehh apia wee!
 
Inategemea na aina ya familia mimi niliondoka nyumbani nikiwa na miaka 28 na nilioa nikiwa hapo. Mzee hakutaka nihame mapema cos nilikuwa mwanaume peke yangu na dada wote walishaolewa.
 
Ni pale tutakapowaandaa vijana kwa kuwapa/equip them with relevant skills/knowledge to face the future with confidence, mimi namlaumu sana mama Ndalichako kwa kutoa elimu isiyo wanufaa wahitimu wetu.
 
Ktk Hilo failure Ni mzazi kushindwa kumpa exposure mtoto wake,mbona wahindi wanakaa na watoto wao mpaka wanaoa na wanapata wajukuu na maisha yanaenda vzr tu?

Cha msingi Ni kimjengea mazingira mtoto awe productive haijalishi anakaa wapi,siyo unamsomesha halaf unamtelekeza tu,andaa shughuli rasmi za familia Kama ni mashamba wape majukumu shambani. Kama ni duka wape majukumu dukani et, siyo na wewe baba unatumwa unarudi nyumbani unataka mtoto naye akatafute mtwana wake amtume.

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Ni pale tutakapowaandaa vijana kwa kuwapa/equip them with relevant skills/knowledge to face the future with confidence, mimi namlaumu sana mama Ndalichako kwa kutoa elimu isiyo wanufaa wahitimu wetu.
sasa ulitaka atoe elimu ya namna gani. How can we transform our education into form which can be utilized in our community 100 percent while we do not have enough fund to invest on education. Tunaweza kuamua kuzibadili shule zetu zote zakataa kuwa VETA kwa pesa ipi?
 
sasa ulitaka atoe elimu ya namna gani. How can we transform our education into form which can be utilized in our community 100 percent while we do not have enough fund to invest on education. Tunaweza kuamua kuzibadili shule zetu zote zakataa kuwa VETA kwa pesa ipi?

Ila pesa za kununua mandege mnazo
 
Back
Top Bottom