Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
Kuna kiasi cha magunia ya chakula cha msaada kutoka Hifadhi ya Chakuka tawi la Arusha kuelekea Arumeru Mashariki. Chakula hicho kimepelekwa huko masaa machache kabla ya uchaguzi mdogo siku ya Jumamosi. Vyanzo vya kuaminika kutoka makao makuu ya NFRA vinadokeza kuwa siku ya kesho chakula kitagawiwa ili kuonesha serikali "inavyojali" wananchi. Mbinu ya kugawa chakuka ili kuvutia kura imewahi kutumika kwenye chaguzi kadhaa huko nyuma.