Chain Of Command: Dkt. Mpango hajui mipaka yake

Asaidie kumshauri lakini sio kusimama hadharani na kutoa maagizo na maelekezo yanayopaswa kutolewa na Rais tena akiwa hai mwenye afya na yupo nchini. Mkuu unadhani Mamlaka ya Rais na Makamu wa Rais yako sawa? La hasha, Kikatiba VP hayuko kabisa kwenye Chain of Command ya Utendaji wa Kila Siku wa Serikali. Yeye kapewa Majukumu ya Kumsaidia Rais kwenye Mazingira na Muungano. Pia kumshauri President kwenye kutenda. labda kama tunahitaji kuibadili katiba na kumuongeza VP kwenye utendaji basi sawa, tubadili Katiba kwanza.
Hebu tuangalie hii Katiba inasemaje kazi za Makamu wa Rais Kifungu 47 (a), (b) na (c) Makamu wa Rais atamsaidia Rais kufuatilia utekelezaji wa siku hata siku na hata mambo ya Muungano
(naona Mada ungeimaliza kwa niaba ya Jamii Forum kuliko kumuonea Makamu wa Rais tutaonekana wote hatufuatilii tunaposema asubiri, au anaingilia -- ni maoni yangu)
1621684658484.png
 
Hebu tuangalie hii Katiba inasemaje kazi za Makamu wa Rais Kifungu 47 (a), (b) na (c) Makamu wa Rais atamsaidia Rais kufuatilia utekelezaji wa siku hata siku na hata mambo ya Muungano
(naona Mada ungeimaliza kwa niaba ya Jamii Forum kuliko kumuonea Makamu wa Rais tutaonekana wote hatufuatilii tunaposema asubiri, au anaingilia -- ni maoni yangu)
View attachment 1793975

Hoja ya huyu mtu ni moja ya dead arguments zilizopata kuletwa hapa jukwaani! ...Na siku hizi ignorance ni choice ya mtu.
 
Mkuu, hii ya kwako sasa ni mpya!
This is the settled principle: He who alleges must prove!
Huwezi kumtuhumu VP kwamba anatoa maagizo ambayo yako nje ya mipaka ya kazi yake halafu ukamtaka mtu mwingine ndiye athibitishe kwamba maagizo ya VP yamo ndani ya mipaka ya kazi yake. Huo utaratibu haupo. Unapaswa kutuonesha mpaka wa kazi ya VP Kikatiba na jinsi ambavyo maagizo ya VP yamevuka huo mpaka!
Mkuu unajua hawa watu wanichafua JF kwa sababu kaulizwa hiyo Organisation Chart kaipata wapi au Katiba atuwekee bado haijui na hapafahamu na kachota member wengine wakimnanga VP wakati ni kosa na anajumuisha wote, tumemsaidia ili afunge mjadala duh!!!!
 
Labda mama anamuagiza mwenye nchi kwa chini amsaidie. Kila kiongozi na style yake mkuu. Nyerere alikuwa akimuagiza Kawawa halafu ambo yakiwa negative anamkana hadharani na Kawawa kwa utiifu wake hakuwahi mkosea Nyerere adabu hadi anastaafu.

Kawawa alpoagwa kustaafu utumishi wa umma Nyerere alitoa machhozi hadi akatamka" Kawawa asante sana ulibeba lawama zangu wewe miaka yote" Dr Mpango kwa utiifu wake na uadilifu wake anaweza akawa Kawawa wa SSH. KInyume chake atakuwa Lowassa wa Kikwete. Mabega hayajawahi kupanda .kuzidi kichaa.

Time will tell yeye ni nani. Bado mapema.
Umenena vema
 
Mkuu, hii ya kwako sasa ni mpya!

This is the settled principle: He who alleges must prove!

Huwezi kumtuhumu VP kwamba anatoa maagizo ambayo yako nje ya mipaka ya kazi yake halafu ukamtaka mtu mwingine ndiye athibitishe kwamba maagizo ya VP yamo ndani ya mipaka ya kazi yake. Huo utaratibu haupo. Unapaswa kutuonesha mpaka wa kazi ya VP Kikatiba na jinsi ambavyo maagizo ya VP yamevuka huo mpaka!
Niko pamoja na wewe kusubiri majibu ya hoja yako maridhawa
 
portifolio Kikatiba VP anayo kwenye Mazingira na Muungano. VP hana Mamlaka yoyote kwenye Utendaji wa Serikali. Ni ceremonial position, Ni reserve, Ni spare ya Presidaa ikitokea (Mungu aepushe)
Imeandikwa wapi?
Hayo unayoandika, umeoteshwa usiku?
Jiulize: Kama VP hana Mamlaka yoyote ya Utendaji Serikalini, Manaibu Waziri watakuwa na mamlaka ya aina yoyote?
Ma-Naibu Waziri wanasimamisha kazi ma-Headmaster na Wahandisi wa Maji sehemu mbalaimbali wanapokuta Utendaji usiokubalika.
Wanakosea?
Wanatakiwa wakae 'reserve' tu?
Hoja yako pamoja na hoja za watu wote wanaokubaliana na wewe, zinawapa nguvu wale wanaobeza 'Elimu' itolewayo Tanzania.
 
Kwa Kumbukumbu Kawawa alikuwa Waziri Mkuu. Hata kama alivikwa cheo cha Makamu wa Pili wa Rais bado alikuwa na Authority kama Mkuu wa Shughuli za Utendaji Serikalini. Lakini Makamu wa Rais sidhani kama Chain of Command inampasa afanye hivyo anavyofanya.
Lakini alipokuwa anamuapizja si alitamka hadharani kuwa anamtarajia afanye Kazi kea karibu na waziri wa fedha. Lakini katiba na utendaji ni vitu viwili tofauti. Ili mradi haileti athari kubwa ,mwenye nchi anaweza kumpa jukumu lolote msaidizi wake. Ngiyo maana unaona Mpango anatoa matamko lakini hajafunga safari kama za waziri mkuu kwenda kusimamisha Kazi watendaji. Basi Makamu asitoe hata dira ya serikali ambayo yeye ni mwenye wadhifa mkubwa ? Sisi tusubiri chakula kizuri tusianze kuchunguza nani ana jukumu lipi jikoni. Hivi unajua mama SSH , aliwapa angalizo kamati kuu kuwa ndani ya ccm anaweza akafanya vizuri na mr Mpango tu. Ndipo akateuliwa , mkuu chemistry ya watu wawili isikusumbue hautokaa uielewe kila kitu Kati yao
 
Hawezi fanya jambo bila go ahead ya Rais...

Ukiona hivyo ujue karuhusiwa...
 
Hoja ya huyu mtu ni moja ya dead arguments zilizopata kuletwa hapa jukwaani! ...Na siku hizi ignorance ni choice ya mtu.
Hebu tuangalie hii Katiba inasemaje kazi za Makamu wa Rais Kifungu 47 (a), (b) na (c) Makamu wa Rais atamsaidia Rais kufuatilia utekelezaji wa siku hata siku na hata mambo ya Muungano
(naona Mada ungeimaliza kwa niaba ya Jamii Forum kuliko kumuonea Makamu wa Rais tutaonekana wote hatufuatilii tunaposema asubiri, au anaingilia -- ni maoni yangu)
View attachment 1793975
"Atamsaidia Rais kufuatilia Utekelezaji wa Siku hata Siku na hata Mambo ya Muungano "

Vyema kabisa, unapomsaidia Mkuu wako wa Kazi, unatakiwa umpe ripoti. Yeye ndio ataiwasilisha kwa Waliomuajiri, ambapo kwa Rais, Waajiri wake ni sisi wananchi.

Hivyo VP akitumwa kazi na Rais, anatakiwa ampe breafing Rais, na Rais atatuhutubia Sisi. Hiyo ndio Chain Of Command ambayo Dr Mpango hajaijua.
 
"Atamsaidia Rais kufuatilia Utekelezaji wa Siku hata Siku na hata Mambo ya Muungano "

Vyema kabisa, unapomsaidia Mkuu wako wa Kazi, unatakiwa umpe ripoti. Yeye ndio ataiwasilisha kwa Waliomuajiri, ambapo kwa Rais, Waajiri wake ni sisi wananchi.

Hivyo VP akitumwa kazi na Rais, anatakiwa ampe breafing Rais, na Rais atatuhutubia Sisi. Hiyo ndio Chain Of Command ambayo Dr Mpango hajaijua.
Hebu tuangalie hii Katiba inasemaje kazi za Makamu wa Rais Kifungu 47 (a), (b) na (c) Makamu wa Rais atamsaidia Rais kufuatilia utekelezaji wa siku hata siku na hata mambo ya Muungano
(naona Mada ungeimaliza kwa niaba ya Jamii Forum kuliko kumuonea Makamu wa Rais tutaonekana wote hatufuatilii tunaposema asubiri, au anaingilia -- ni maoni yangu)
View attachment 1793975
"Atamsaidia Rais kufuatilia Utekelezaji wa Siku hata Siku na hata Mambo ya Muungano "

Vyema kabisa, unapomsaidia Mkuu wako wa Kazi, unatakiwa umpe ripoti. Yeye ndio ataiwasilisha kwa Waliomuajiri, ambapo kwa Rais, Waajiri wake ni sisi wananchi.

Hivyo VP akitumwa kazi na Rais, anatakiwa ampe breafing Rais, na Rais atatuhutubia Sisi. Hiyo ndio Chain Of Command ambayo Dr Mpango hajaijua.
 
Hivyo VP akitumwa kazi na Rais, anatakiwa ampe breafing Rais, na Rais atatuhutubia Sisi. Hiyo ndio Chain Of Command ambayo Dr Mpango hajaijua.
hiyo Chain of Command ni ipi? maana kuna mahali umesema Organization Chart hukuionesha
pia kumbuka hakuna mahali kunakosema Chain of Command kuwa Rais atazungumza na Wananchi waliomuajiri kila baada ya siku 30 au miezi 6 au Wazee wa Dar
Rais hashurutishwi popote kuwaelezea Wananchi kuwa sasa sukari ipo au vyama vya wafanyakazi vianze hichi au hata kukaa na Wapinzani
Rais ana vyombo vyake vya Usalama vinavyomuelekeza yeye na Makamu wafanye nini na tena hata km wametangulia kutumbua Wakuu wa Mikoa na Wilaya hivyo vyombo vitatii hata akikosea
Labda niseme kwa VP huyu hawezi kufanya kazi au kuruhusu wahuni km Sabaya, Makonda au Mawaziri vichwamaji watatimuliwa na Rais (na yeye atahusika) mara moja
Katiba na Chart of Organization ya kazi ya Muhimili huo nimekuweke post #147 mumuhumu
 
hiyo Chain of Command ni ipi? maana kuna mahali umesema Organization Chart hukuionesha
pia kumbuka hakuna mahali kunakosema Chain of Command kuwa Rais atazungumza na Wananchi waliomuajiri kila baada ya siku 30 au miezi 6 au Wazee wa Dar
Rais hashurutishwi popote kuwaelezea Wananchi kuwa sasa sukari ipo au vyama vya wafanyakazi vianze hichi au hata kukaa na Wapinzani
Rais ana vyombo vyake vya Usalama vinavyomuelekeza yeye na Makamu wafanye nini na tena hata km wametangulia kutumbua Wakuu wa Mikoa na Wilaya hivyo vyombo vitatii hata akikosea
Labda niseme kwa VP huyu hawezi kufanya kazi au kuruhusu wahuni km Sabaya, Makonda au Mawaziri vichwamaji watatimuliwa na Rais (na yeye atahusika) mara moja
Katiba na Chart of Organization ya kazi ya Muhimili huo nimekuweke post #147 mumuhumu
Sijaongelea Organization Chart, huo ni mchango wa mtu mwingine. Umechanganya mafaili.
 
hiyo Chain of Command ni ipi? maana kuna mahali umesema Organization Chart hukuionesha
pia kumbuka hakuna mahali kunakosema Chain of Command kuwa Rais atazungumza na Wananchi waliomuajiri kila baada ya siku 30 au miezi 6 au Wazee wa Dar
Rais hashurutishwi popote kuwaelezea Wananchi kuwa sasa sukari ipo au vyama vya wafanyakazi vianze hichi au hata kukaa na Wapinzani
Rais ana vyombo vyake vya Usalama vinavyomuelekeza yeye na Makamu wafanye nini na tena hata km wametangulia kutumbua Wakuu wa Mikoa na Wilaya hivyo vyombo vitatii hata akikosea
Labda niseme kwa VP huyu hawezi kufanya kazi au kuruhusu wahuni km Sabaya, Makonda au Mawaziri vichwamaji watatimuliwa na Rais (na yeye atahusika) mara moja
Katiba na Chart of Organization ya kazi ya Muhimili huo nimekuweke post #147 mumuhumu
Halafu inaonekana haujaelewa vizuri topic. Ni Wajibu wa VP kumpa updates Rais kwa kazi zote anazotumwa na Rais na anazopaswa kufanya kwa mujibu wa Katiba. Anatakiwa ampe Rais na yeye Rais ikimpendeza atatuhutubia sisi. Matamko yoyote ya VP yasiyozingatia Chain of Command hayapaswi kutamkwa kabisa.
 
Halafu inaonekana haujaelewa vizuri topic. Ni Wajibu wa VP kumpa updates Rais kwa kazi zote anazotumwa na Rais na anazopaswa kufanya kwa mujibu wa Katiba. Anatakiwa ampe Rais na yeye Rais ikimpendeza atatuhutubia sisi.
Matamko yoyote ya VP yasiyozingatia Chain of Command hayapaswi kutamkwa kabisa.
sasa nimeanza kukuelewa kwani unakuja kwenye mstari kwamba Makamu anaruhusiwa kufanya kazi za kila siku na kumpa updates
Kaa ufahamu kila jumanne ya wiki Rais anakutana na Baraza la Mawaziri pamoja na Rais wa Visiwani?
je km kila siku au kila Jumatatu wanakutana na Makamu
Hilo neno Chain of Commanding kiofisi halipo labda Jeshini ndio maana ukianza kazi unapewa
job description na kipengele cha mwisho husomeka AND ANY OTHER DUTY ASIGNED BY YOUR SUPERIOR, bosi akikuagiza kitu hata kama hakipo kwenye JD ukifanye
Mkuu wa Wilaya mwenyewe anasimamisha wafanyakazi sasa VP mbwa mnyama kaingia haruusiwi mpaka aje mhudumu, naye amwite FFU getini atafutwe Nw Mifugo aje mdunguaji wanyama
Katiba ieleweke Makamu atafanya kazi na kutoa maamuzi, taarifa itafika kwa Raisi km inavyofika ya Mkuu wa Wilaya
 
Tangu ateuliwe Kama Makamu wa Rais Dr. Mpango amekuwa akitoa kauli za Kiutendaji bila kujali Mipaka ya Majukumu yake.

Mara ya Kwanza alisikika akimuagiza Waziri wa Fedha akusanye Tilioni 2. Bila kujua kwamba Mamlaka hayo ni ya Rais kwenda kwa Waziri wa Fedha kisha Kamishna Mkuu TRA.

Pili, Tena kasikika akiwaagiza Wakuu wa Mikoa Masuala ya Kinidhamu bila kujua kwamba, Mamlaka ya uteuzi na maagizo ya Kinidhamu yako Ofisi ya Rais - Tamisemi.

Huyu Dr anasahau kuwa yeye ni reserve wa Rais endapo litatokea (Mungu aepushe mbali). Na kwamba Mamlaka yake ya Maagizo ya Kiutendaji yako kwenye Mazingira na Muungano.

Afundwe huyu.

Dr Mpango ni Professor wa nadharia zaidi. Tukitaraji matendo kwake tutamuonea.

Mungu atuepushe asije ukwaa Urais wa JMT. Tutaumia!
 
sasa nimeanza kukuelewa kwani unakuja kwenye mstari kwamba Makamu anaruhusiwa kufanya kazi za kila siku na kumpa updates
Kaa ufahamu kila jumanne ya wiki Rais anakutana na Baraza la Mawaziri pamoja na Rais wa Visiwani?
je km kila siku au kila Jumatatu wanakutana na Makamu
Hilo neno Chain of Commanding kiofisi halipo labda Jeshini ndio maana ukianza kazi unapewa
job description na kipengele cha mwisho husomeka AND ANY OTHER DUTY ASIGNED BY YOUR SUPERIOR, bosi akikuagiza kitu hata kama hakipo kwenye JD ukifanye
Mkuu wa Wilaya mwenyewe anasimamisha wafanyakazi sasa VP mbwa mnyama kaingia haruusiwi mpaka aje mhudumu, naye amwite FFU getini atafutwe Nw Mifugo aje mdunguaji wanyama
Katiba ieleweke Makamu atafanya kazi na kutoa maamuzi, taarifa itafika kwa Raisi km inavyofika ya Mkuu wa Wilaya
Hivi umesoma na kuelewa kweli original thread au unahemka mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom