cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 84,992
- 136,492
Ajikite kwenye mazingira na muungano, otherwise akumbushwe kuwa VP position hapa Tz ni more of a ceremonial position- ni nafasi ya kula bata kimyakimya.
Ajikite kwenye mazingira na muungano, otherwise akumbushwe kuwa VP position hapa Tz ni more of a ceremonial position- ni nafasi ya kula bata kimyakimya.
Ha haa wewe umenikumbusha mbaaaali, enzi za vijiji vya ujamaa Kawawa alipobebeshwa zigo la kufeli ule mpango wa villagisation.Labda mama anamuagiza mwenye nchi kwa chini amsaidie. Kila kiongozi na style yake mkuu. Nyerere alikuwa akimuagiza Kawawa halafu ambo yakiwa negative anamkana hadharani na Kawawa kwa utiifu wake hakuwahi mkosea Nyerere adabu hadi anastaafu.
Kawawa alpoagwa kustaafu utumishi wa umma Nyerere alitoa machhozi hadi akatamka" Kawawa asante sana ulibeba lawama zangu wewe miaka yote" Dr Mpango kwa utiifu wake na uadilifu wake anaweza akawa Kawawa wa SSH. KInyume chake atakuwa Lowassa wa Kikwete. Mabega hayajawahi kupanda .kuzidi kichaa.
Time will tell yeye ni nani. Bado mapema.
Ndiyo kwani hujui?Dah! kwahiyo likitokea la kutokea kwa Mama huyu Mpango ndio anakuwa amiri jeshi mkuu?
WAHA kama WAMASAI..................don trust these guys in your business or Partnership....Watu wa Kigoma ni shida,siku si nyingi Mama atajuta.
hamjui watu wa huko wanapenda misifa?
Zile semina za Ngurdoto na kujulishana majukumu ya viongozi mbalimbali ni muhimu sana.Hicho cheo cha Makamu wa Rais ni cha kipuuzi but kipo kama Reserve tuu.
Hayo maagizo ni ya Rais na Waziri mkuu,yeye Kazi yake ni kuwakumbusha maneno ya Rais sio kutoa maagizo sijui maelekezo.
Rais Samia kipindi ni VP alikuwa akija ziarani haagizi unless aseme nimeelekezwa na Rais ,kama kuna jambo kaliona alikuwa anasema atalifikisha kwa Rais,sasa huyu wa sasa sijui Ana shida gani
Vingora vinamlewesha, tayar anajiona n yy yupo top
Na usomi wote anaishia kushika mikasi na utepe nimatumizi mabaya ya resources
Sitashangaa siku nikisikia Mpango ameteua hata wakuu wa mikoa
khaaaahDa hiki cheo bana nakifananisha na jitu kubwa lenye misuli ya kutosha ,kakamavu lakini nguvu za kiume hamna
Na ndo ukweli wenyeweJK aliwahi kusema urais ni wangu na sina ushirika na mtu yoyote yule.
Ili nchi iwe na marais wawili?Waacheni wasaidiane kuongoza nchi si kazi ndogo.
ndio maana Katiba inatakiwa kuwa reviewed.
Akawa anakwenda nje kwa ajili ya kuhudhuria mikutano ya wakurugenzi wa mamlaka fulani akifika huko anashinda hotelini wakati wahusika wakiwa vikaoni.JK aliwahi kusema urais ni wangu na sina ushirika na mtu yoyote yule.
Hakuna anayejua Kila kitu. Ndio maana tunakosoana. Hapa VP kakosea.Wewe unataabika na nini juu ya hilo? Kuwa wewe unajua kuliko yeye?
Au unadhani amepata nafasi hiyo kwa kubahatisha?
Muache afanye kazi zake, hutaki, hama nchi.
Katiba Mkuu, Katiba. Hayo Mamlaka Mahsusi yako wapi nje ya Yale ya Muungano na Mazingira?Kumbe humu jamvini kuna watu vilaza kweli2! MR ana mamlaka makubwa kumfuatia Rais sema wengi huwa ni wapole, lakini anaweza kuchukua hatua kwa kiongozi yoyote kasoro boss wake. Kama mambo hamyajui ulizeni siyo ujinga kufanya hivo!
Anaweza yule
Aliwahi kwenda Australia ikabidi apokewe na Meya wa mji tu(yaani diwani) kwa jinsi alivyokua amechokwa pale.Akawa anakwenda nje kwa ajili ya kuhudhuria mikutano ya wakurugenzi wa mamlaka fulani akifika huko anashinda hotelini wakati wahusika wakiwa vikaoni.
Full kula bata na hapo msafara una watu 30 - 40.
hata wa3 sawaIli nchi iwe na marais wawili?
Inaonekana hujui maana ya Jamhurihata wa3 sawa