Roxea
Senior Member
- May 18, 2012
- 182
- 48
Habari za mchana wana jamvi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwanza napenda radhi ka kutokuwepo jamvini kwa kitambo kikubwa sana hii ni kkutokana kna ukweli kuwa maisha yamenihitaji kuwa very busy on the fields kuliko ofisini.
Back to the heading: Jana jumatatu tarehe 16/12/2103 wanachuo walikataa kuingia darasani na pia kula chakula, suala ambalo linaendelea mpaka leo. Kwa siku nzima ya jana, zilifanyika juhudi za hapa na pale ikiwa ni pamoja na kumtafuta Managing Director wa Shirika la elimu kibaha ambalo kimsingi chuo kipo chini ya shirika hilo la elimu kibaha ambaye alishindwa kutatua kero za wanafunzi hao maafisa tabibu watarajiwa.. Mpaka leo juhudi za kutatua kero hizo zinaendelea lakini muafaka bado haujapatikana na wanafunzi hao bado wanaendelea kutokubaliana na solution zinazotolewa... Kero zao ni pamoja na ada kupanda kila mwaka na pia kutoendana kwa ada hizo na huduma wanazopata wanafunzi hao ikiweno chakula, mfano wa chakula hicho ni chai kavu, ugali maharage mchana na jioni na pia gharama zinazojirudiarudi kama vitambulisho, dharura na michezo kila mwaka na matumizi yake hayaainishwi na kero nyinginezo nyingi...
Kwanza napenda radhi ka kutokuwepo jamvini kwa kitambo kikubwa sana hii ni kkutokana kna ukweli kuwa maisha yamenihitaji kuwa very busy on the fields kuliko ofisini.
Back to the heading: Jana jumatatu tarehe 16/12/2103 wanachuo walikataa kuingia darasani na pia kula chakula, suala ambalo linaendelea mpaka leo. Kwa siku nzima ya jana, zilifanyika juhudi za hapa na pale ikiwa ni pamoja na kumtafuta Managing Director wa Shirika la elimu kibaha ambalo kimsingi chuo kipo chini ya shirika hilo la elimu kibaha ambaye alishindwa kutatua kero za wanafunzi hao maafisa tabibu watarajiwa.. Mpaka leo juhudi za kutatua kero hizo zinaendelea lakini muafaka bado haujapatikana na wanafunzi hao bado wanaendelea kutokubaliana na solution zinazotolewa... Kero zao ni pamoja na ada kupanda kila mwaka na pia kutoendana kwa ada hizo na huduma wanazopata wanafunzi hao ikiweno chakula, mfano wa chakula hicho ni chai kavu, ugali maharage mchana na jioni na pia gharama zinazojirudiarudi kama vitambulisho, dharura na michezo kila mwaka na matumizi yake hayaainishwi na kero nyinginezo nyingi...