denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Ndebile.
Una upeo mdogo sana, hivyo vyama vingine vianzishwe lini vije kuiondoa CCM madarakani? unaimba tu kama kasuku; kama Chadema haikubaliki iweje CCM wahangaike kuiua miaka yote hiyo mpaka kusaidiwa na kura feki? hicho chama kipya kitafanya nini kwenye mazingira tuliyonayo ya siasa sasa? au viongozi wake watatoka mbinguni?!
Hujielewi kabisa, umeropoka tu.
Una upeo mdogo sana, hivyo vyama vingine vianzishwe lini vije kuiondoa CCM madarakani? unaimba tu kama kasuku; kama Chadema haikubaliki iweje CCM wahangaike kuiua miaka yote hiyo mpaka kusaidiwa na kura feki? hicho chama kipya kitafanya nini kwenye mazingira tuliyonayo ya siasa sasa? au viongozi wake watatoka mbinguni?!
Hujielewi kabisa, umeropoka tu.