Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,215
Sikupata kujua kama Chadema ni maarufu na muhimu kiasi hiki kuanzia ngazi ya chini hadi pale Chaguzi za viongozi wa kanda zilipoanza.
Ni ajabu kuwa chaguzi hizo zimefuatiliwa kwa ukaribu sana na nchi nzima, hasa ccm imeonyesha kuwa inaangalia kwa ukaribu sana kuliko hata Chadema wenyewe.
Nina hakika kwa sasa viongozi wakuu wa CCM wakiongozwa na mwenyekiti wao Rais Magufuli wanajua kila kanda mwenyekiti na makamu ni nani na hata idadi ya kura walizopata. Pia watu wao walio wachomeka wameangukaje.
Hii ni ishara kuwa Chadema ni chama kikubwa na tishio kwa watawala na wanauwezo wa kuwatoa madarakani CCM kama uchaguzi wa haki na huru.
Ni ajabu kuwa chaguzi hizo zimefuatiliwa kwa ukaribu sana na nchi nzima, hasa ccm imeonyesha kuwa inaangalia kwa ukaribu sana kuliko hata Chadema wenyewe.
Nina hakika kwa sasa viongozi wakuu wa CCM wakiongozwa na mwenyekiti wao Rais Magufuli wanajua kila kanda mwenyekiti na makamu ni nani na hata idadi ya kura walizopata. Pia watu wao walio wachomeka wameangukaje.
Hii ni ishara kuwa Chadema ni chama kikubwa na tishio kwa watawala na wanauwezo wa kuwatoa madarakani CCM kama uchaguzi wa haki na huru.