johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 634
- 1,000
Nianze Kwa nukuu ifuatayo kutoka Kwa gwiji Jenerali Ulimwengu, wakati huo akimjibu Daniel Nswanzugwako, baada ya kutoka NCCR Mageuzi na kujiunga ccm huku akiwabeza waliokuwa wakihoji mwenendo ndani ya CCM.
Jenerali ulimwengu aliandika" ni kawaida Kwa waumini wa imani au dhehebu jipya, kuwa na msimamo mkali pengine zaidi hata ya makasisi wa imani hizo'.
Nimelazimika kuibuka na hitimisho hilo kutokana na chaguzi za ndani ya ccm zilivyokumbwa na vitendo vya hovyo, hasa rushwa.
Vitendo hivi vimefanyika huku kukiwa na waumini wapya waliojiunga ccm Kwa maelezo ya kuwa wapinzanj hawana hoja tena kwani CCM chini ya magufuli imebadilika!.
Vitendo vya rushwa vimetamalaki kila kona ya nchi, ndani ya uchaguzi wa ccm na jumuiya zake, lakini waumini wapya hawaoni!
Ndio maana kuna watu wanahoji kuwa kwaninj wananchi wa kawaida hawayaoni na kujiunga na imani mpya kama hawa waliokuwa viongozi waandamizi wa upinzani?
Jenerali ulimwengu aliandika" ni kawaida Kwa waumini wa imani au dhehebu jipya, kuwa na msimamo mkali pengine zaidi hata ya makasisi wa imani hizo'.
Nimelazimika kuibuka na hitimisho hilo kutokana na chaguzi za ndani ya ccm zilivyokumbwa na vitendo vya hovyo, hasa rushwa.
Vitendo hivi vimefanyika huku kukiwa na waumini wapya waliojiunga ccm Kwa maelezo ya kuwa wapinzanj hawana hoja tena kwani CCM chini ya magufuli imebadilika!.
Vitendo vya rushwa vimetamalaki kila kona ya nchi, ndani ya uchaguzi wa ccm na jumuiya zake, lakini waumini wapya hawaoni!
Ndio maana kuna watu wanahoji kuwa kwaninj wananchi wa kawaida hawayaoni na kujiunga na imani mpya kama hawa waliokuwa viongozi waandamizi wa upinzani?