duh.. kwa hiyo watu wamemshtukia eh?
Niliona katika taarifa ya habari utadhani Mkulu anamuogopa...Halafu ukiangalia midomo ya huyo fisadi no.1 utaona lile pose la sanifu au kuzuga vile..nyie angalieni kwa makini, ulimi wake
ungekuwa wewe ungefanyeje? Watu wa igunga ndo tayari wameshamchagua halafu wewe umkatae? Siunapoteza jimbo. Agh, mijitu mingine bana, pumba nyingi.