CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
bichwa la habari lahusika saaaanaaaa!!!!!!!
na kwa wale wapendwa kama mimi..... haya!!!!
na kwa wale wapendwa kama mimi..... haya!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe mbona mgomvi hivi?? Wenzio ni dawa hiyo sio starehe. Shaurizo.
Hivi wewe mbona mgomvi hivi?? Wenzio ni dawa hiyo sio starehe. Shaurizo.
N:B.. Mwenzenu nipo bedrest na daktari kanishauri kutumia hizi makitu hapa chini.... not azawaiz!!!!!!!
Hata daktari paulo alimwambia timotheo atumie kidogo kwa ajili ya tumbo lake
haya maziwa huwa ndo ugonjwa wangu, ngoja nijimiminie angalau nijiburudishe kidogobichwa la habari lahusika saaaanaaaa!!!!!!!
haya maziwa huwa ndo ugonjwa wangu, ngoja nijimiminie angalau nijiburudishe kidogo
yaani mdogo wangu hapo ndo penyewe kabisaaaaaaaaaaa. ngoja nijiinjoi zangu mie, karibu juice pia ipohahahaaaa dada mkubwa kumbe mekutachi eeehhh.... enjoy mwaya maisha yenyewe ndo hayo tu!!!!
Ile ilikuwa ni Brandy kutoka India, inaitwa GOVINDER KUMAR
kichwa habari ni tata,mi nilijua kujichangulia wa kutoka naye, any way mi sipendi hayo napendaga yale