Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Naanza kwa kuuliza swali... Hivi ukiwa umekaa umejituliza ukamuona panya anakimbia kutoka sehemu nzuri kuelekea kwenye moto mkubwa unaowaka utafikiria nini? Jibu langu mie nitajibu baadae lakini usiseme huyo panya ni mjinga wala mwehu!! ana maana yake!!Yaani tusipokuwa makini, hali hii itaendelea. Sijui tumelogwa. Hivi watanzania tuwaambie nini hadi waelewe? Naomba muangalie hizi picha hapo chini. Ninachojiuliza ni kwamba raslimali zoote tulizonazo, Mbuga za wanyama, Diamonds, Dhahabu, Tanzanite, Uranium, Ziwa Victoria, Tanganyika, Nyasa, Mito, Mlima Kilimanjaro, yaani jamani nani anakula hizi fedha. Waliorudisha fedha za Epa walipewa Stakabadhi namba ngapi? Kuna anayejua risit walizopewa? Kwa nini elimu isitolewe bure? Kipi kimefanyika cha maana kiasi kwamba fedha hazionekani? Kama ni barabara bado ni shida, waulize wakazi wa Sumbawanga. Kama ni maji bado ni kilio sehemu kibao hapa nchini, kama ni umeme udo usiseme kabisa, Zahanati ni za ajabu waganga wanakimbilia botswana, shule zetu za msingi kwingine bado ni shida, Labda fedha zilitengeneza vyeti vya uraia kwa ajili ya Watanzania ,lakini viko wapi? Labda fedha zimeboresha makazi ya Maaskari, lakini wapi!!! Na bila kujiuliza wanatii amri kama ambavyo mfugo fulani aufugao binadamu kiamrishwa hivi:- SHIKAAAAAAAAAAA, huo mfugo hukimbia na kushika bila hata kuhoji ninayemshika kafanyaje? Yaani Tabu tuuuu!! Sasa oneni hapa chini...:A S angry::A S angry::A S angry::tape::tape:
Chagua CCM
Ofisi zetu
Sasa tucheze na hesabu 6,900,000/= kwa mbunge mmoja,zidisha mara miezi 12 then zidisha kwa miaka 5 = 414,000,000/= jumlisha 50,000,000/= anayopewa mara baada ya kumaliza miaka 5 = 464,000,000/= kwa mbunge mmoja.
464,000,000/= siko tayari kuzidisha fedha hii mara wabunge wote kwa miaka 5,calculator yangu itachanganyikiwa alafu niingie gharama ya kununua nyingine.
Kazi kwenu wadau mie sina lakusema.
Chagua CCM
Ofisi zetu
MAKAZI YETU
v
shule zetu
|
v
|
v
Darasani kwa watoto wetu
|
v
|
v
Huko vijijini-Dispensary
|
v
|
v
WAO WAKICHAGULIWA....
Ubalozi wa Tanzania Washington
Ofisi zetu za Bunge
|
v
|
v
Kuna cha kuongeza?
Ofisi zetu za Bunge
|
v
|
v
Kuna cha kuongeza?
Sasa tucheze na hesabu 6,900,000/= kwa mbunge mmoja,zidisha mara miezi 12 then zidisha kwa miaka 5 = 414,000,000/= jumlisha 50,000,000/= anayopewa mara baada ya kumaliza miaka 5 = 464,000,000/= kwa mbunge mmoja.
464,000,000/= siko tayari kuzidisha fedha hii mara wabunge wote kwa miaka 5,calculator yangu itachanganyikiwa alafu niingie gharama ya kununua nyingine.
Kazi kwenu wadau mie sina lakusema.