Leo asubuhi kupitia Radio One, kamanda wa Upelelezi Chagonja amethibitisha Kauli ya Mbowe kuwa ni kweli tukio la mlipuko wa Arusha lilihusisha silaha tatu tofauti, yaani BOMU, BASTOLA na BUNDUKI(SMG).
Amesema ni kweli Bomu ni la kurushwa na pia lilitengenezwa China tena kiwandani. Pia amethibitisha kuwa baada tu ya bomu kulipuka wahusika walikuwa wakifyatua risasi kulenga watu na maeneo mahali bomu lilipolipuka.
MY TAKE:
1/Tukio hili la Arusha lilikuwa na wahusika wasiopungua watatu tena wakifanya kazi tatu tofauti, Mrusha bomu(BOMBER), Mfyatua risasi(SHOOTER) na Mlenga shabaha(SNIPER).
2/Kuna ukweli kuwa wahusika ni watu wanaofanya kazi na taasisi za kiusalama ama wamewahi kupata mafunzo ya kiusalama(Polisi, Jeshini nk)
3/Hili ni tukio la KUPANGWA MAHUSUSI, kwani inaonekana kulikuwa na uratibu maalum mpaka lifanikiwe.
UPDATES
*Chagonja anadai uchunguzi wake wa awali unaonyesha kuwa mtu huyo huyo aliyerusha Bomu ndiye pia huyo huyo aliyetumia bastola kupiga watu na ndiye huyo huyo alitumia SMG kulenga watu kama njia ya kujihami asikamatwe na watu, polisi walimwona ila raia wakazuia polisi wasimkamate!!!
Amesema ni kweli Bomu ni la kurushwa na pia lilitengenezwa China tena kiwandani. Pia amethibitisha kuwa baada tu ya bomu kulipuka wahusika walikuwa wakifyatua risasi kulenga watu na maeneo mahali bomu lilipolipuka.
MY TAKE:
1/Tukio hili la Arusha lilikuwa na wahusika wasiopungua watatu tena wakifanya kazi tatu tofauti, Mrusha bomu(BOMBER), Mfyatua risasi(SHOOTER) na Mlenga shabaha(SNIPER).
2/Kuna ukweli kuwa wahusika ni watu wanaofanya kazi na taasisi za kiusalama ama wamewahi kupata mafunzo ya kiusalama(Polisi, Jeshini nk)
3/Hili ni tukio la KUPANGWA MAHUSUSI, kwani inaonekana kulikuwa na uratibu maalum mpaka lifanikiwe.
UPDATES
*Chagonja anadai uchunguzi wake wa awali unaonyesha kuwa mtu huyo huyo aliyerusha Bomu ndiye pia huyo huyo aliyetumia bastola kupiga watu na ndiye huyo huyo alitumia SMG kulenga watu kama njia ya kujihami asikamatwe na watu, polisi walimwona ila raia wakazuia polisi wasimkamate!!!