Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Hilo nalo neno, polisi wetu wanavyopenda sifa eti wamwone mualifu alafu washindwe kumthibiti kisa wananchi wanawazuia hapa nabaki na ????, hao raia ambao hawana silaha tu huwa wanamiminiwa risasi utasema Marekani wamemwona mwakilishi wa Al Queda