Chaga Man

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,810
Kulikuwa na washtakiwa watatu, Mmasai, Mmakonde na Mchaga. Wote waliukumiwa kufa/kuwawa kwa kukutwa na madawa ya kulevya, kule Jamhuri ya wa watu wa China. Serikali ya China kwa kuzingatia mahusiano mazuri na serikali ya Tanzania, askari magereza akawashauri wachague jinsi yanavyopenda kufa. Wakatakiwa wachague aina tatu ya jinsi ya kuuwawa. Aidha kwa bunduki, kupigwa sindano ya virus vya aids/hiv. au kunyongwa hadi kufa!!

Mmasai akafikiri sana akasema: bwanya azkari, nipige pistori. Askari wakafyatua risasi, Mmasai akafa...!

Mmakonde: Mimi bana achikari ninyonge bachi, niuwawee. Mmakonde akanyongwa hadi kufa.

Mchaga. Mimi nazubiri unipatie hiyo injection ya viruzi vya aidz. Askari magereza wakampiga sindano ya virus.

Ghafla mchaga akaanza kucheka, akacheka akacheka sana. Askari akashangaa na akamuliza unacheka nini. Mchaga akajibu:

Wewe azkari mpumbafu zana. Aisee babangu Mimi nimevaa kondom...!
 
hahhahahhahahaa keleuwiii nkikiii manaaaa???!!!!yan wanataka kusema wachagga ni wajinga hivyooo??huyu aliye ipost hii kama sio mpare basi tuu ana kisa na wachagga!
anyways namshukuru kwa kunifanya nicheke kwa leo
 
Kulikuwa na washtakiwa watatu, Mmasai, Mmakonde na Mchaga. Wote waliukumiwa kufa/kuwawa kwa kukutwa na madawa ya kulevya, kule Jamhuri ya wa watu wa China. Serikali ya China kwa kuzingatia mahusiano mazuri na serikali ya Tanzania, askari magereza akawashauri wachague jinsi yanavyopenda kufa. Wakatakiwa wachague aina tatu ya jinsi ya kuuwawa. Aidha kwa bunduki, kupigwa sindano ya virus vya aids/hiv. au kunyongwa hadi kufa!!

Mmasai akafikiri sana akasema: bwanya azkari, nipige pistori. Askari wakafyatua risasi, Mmasai akafa...!

Mmakonde: Mimi bana achikari ninyonge bachi, niuwawee. Mmakonde akanyongwa hadi kufa.

Mchaga. Mimi nazubiri unipatie hiyo injection ya viruzi vya aidz. Askari magereza wakampiga sindano ya virus.

Ghafla mchaga akaanza kucheka, akacheka akacheka sana. Askari akashangaa na akamuliza unacheka nini. Mchaga akajibu:

Wewe azkari mpumbafu zana. Aisee babangu Mimi nimevaa kondom...!
Nimecheka mpaka shingo ika-vibrate kwa leo inatosha
 
Back
Top Bottom