CHADEMA, Zitto, Tundu Lissu jifunzeni kwa Jeremy Cobyn

Ndugu zangu,

Nimekuwa nikifuatilia mjadala wa Brexit katika Bunge la makabwela (house of commons) la UK.Nilichogumdua kambi ya upinzani chini ya Jeremy Cobyn wanajenga uhalali wa hoja zao huku wakitaka kuungwa mkono na waingereza na si mataifa ya nje.

Leo tumeshuhudia maspika wa mabunge yote lile la mabwanyenye (house of Lords) na makabwela (house of commons) walitangaza kuahirisha mijadala kwa wiki tano hadi tarehe 14 October,2019,kufuatia amri iliyosainiwa na malkia wa Uingereza ambayo haiwezi kupingwa kortini kwani wabunge,mawaziri na waziri Mkuu UK huapa kutii maagizo ya mfalme au Malkia.

Ninayasema haya kwa sababu najua Jeremy Cobyn ni bosi wa Zitto Kabwe,na vile vile Chadema na Tundu Lissu wamekukuwa wakiishitaki Tanzania kwa waingereza ili washinikize wananchi kupitia serikali kurejea utumwa wa fikra.Mara kadhaa Zitto,Tundu na Chadema wameandika barua kwenye ofisi za Balozi na Bunge la UK ili Watanzania washindwe na kurudi kwenye utumwa bila mafanikio.

Jeremy Cobyn,hajawahi kutaka msaada wa nchi za nje ili kumpa shinikizo Borris au Malkia bali anashawishi wananchi na wabunge.Hili ni fundisho,kama wanasiasa wa upinzani wataendelea kukumbatia utumwa na fikra za kushikiwa akili hakika wananchi tutawapuuza.

NB:Katika andiko hili,Chadema inamaanisha Mbowe na wafuasi wa Chadema, Tundu Lissu ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe ni Zitto Kabwe.

Tujadili kwa mantiki.
Kicheko unafananisha kojima na Buhari. Hiyoseriksli yu naomba msaada nchi za nje sembuse chama upinzani ambayo hakuna polisi waka jeshi.
Halafu UK polisi , jeshi hawana chama ila Bongo wako chini ya CCM. Umeona polisi wa UK wakimkamata Corbyn? Kama huku wanavyoksmata hata mitihani ukiwa inamuhusu mpinzani? Mimi naona wa kujifunza ni Jiwe
 
Mkuu Kaka Wakudadavua, naunga mkono hoja, na kiukweli hapa sasa ndio nakuona ukiwathibitishia hawa wajinga wajinga wa humu kuwa Kaka Wakudadavua alipiga shule ya ukweli, maana hii mada imekwenda shule.

Hili somo la Wapinzani wa Uingereza ni somo zuri sana kwa Wapinzani wa Tanzania waige wapinzani wenzao wa ukweli wa Uingereza, ila pia Kaka Wakudadavua, mweleleze na Spika na Naibu Spika, na wao waendeshe Bunge letu kwa haki kama linavyoendeshwa Bunge la Uingereza ili kina Lissu, kina Zitto, kina Mbowe na Wapinzani, nao wawe kama wenzao.


Ukisoma bandiko hilo, naomba niweke msisitizo kabla, uangalie kuna alama ya kuuliza maana...

Sitaki kuitwa tena mahali kujieleza kama ilivyotokea mwanzo mtu kufunga safari all that way, kwenda kuwafundisha watu kusoma alama tuu ya kuuliza!.
P
Ha ha ha ha pascal kumbe hicho tu ndicho ulichoenda kujifanya ulipoitwa kule?

Yaani ulienda kutoa somo tu la Matumizi ya alama haswa alama ya kuuliza katika Lugha ya Kiswahili?

Ahsante kwa kutumegea kwa uchache kilichojiri ile siku.
 
Mbona kama unachanganya mambo, unaongelea ishu ya kujenga hoja bungeni wakati huohuo unachanganya ni ishu ya wananchi kuandamana kumtoa mtawala kwenye nchi ambayo hata umoja wa wanawake wa chama cha upinzani wakikaa kikao cha ndani kujadili mambo yao wanafurumushwa kwa mabomu na virungu.
Hoja hii imemjibu muuliza swali
 
Unaishi Tanzania ipi?? Huyo Tundu Lisu ana kesi zaidi ya kumi, hujaenda kwa Mbowe, hujaenda kwa akina Maalim Seif ,hujaenda kwa viongozi wengine wa upinzani
Halafu wabunge wa UK wakiwa Bungeni wanasimamia msimamo yao na siyo msimamo wa kiongozi wao wa kusifu na kuabudu. Mimi naona wabunge wa CCM wajifunze kutoka kwa wabunge wa Conservative kuna watu wamejiuzulu binge wao kwa kutoafikiana na kiongozi wao wetu wanaweza? Hasa Kibajaji si atarudi kuchimba zege? Thubutu! Ndiyo faida ya kuchsgua wabunge masikini ambao maisha Yao inategemea ubunge. Hawana professional yoyote, ubunge ukiisha hana maisha.
Sijaona mbunge wa Conservative kabla hajajua Mustafa anaanza kumsifia prime minister. Huku kwetu kituko kila anaeongea owe bungeni, waziri, katibu kata nk kabla hajaleta ujumbe lazima stymie robo saa ku worship kwanza awamu ya5 pis serikali ya John Joseph Pombe
 
Huwezi kufananisha demokrasia ya Wazungu waliostaarabika toka karne ya 15 na hii yetu...kwanza hapa kwetu hakuna kitu kinaitwa kujiuzulu bali kuna kitimuliwa unapokwenda tofauti na mawazo ya zidimu fikra.
 
Mkuu Kaka Wakudadavua, naunga mkono hoja, na kiukweli hapa sasa ndio nakuona ukiwathibitishia hawa wajinga wajinga wa humu kuwa Kaka Wakudadavua alipiga shule ya ukweli, maana hii mada imekwenda shule.

Hili somo la Wapinzani wa Uingereza ni somo zuri sana kwa Wapinzani wa Tanzania waige wapinzani wenzao wa ukweli wa Uingereza, ila pia Kaka Wakudadavua, mweleleze na Spika na Naibu Spika, na wao waendeshe Bunge letu kwa haki kama linavyoendeshwa Bunge la Uingereza ili kina Lissu, kina Zitto, kina Mbowe na Wapinzani, nao wawe kama wenzao.


Ukisoma bandiko hilo, naomba niweke msisitizo kabla, uangalie kuna alama ya kuuliza maana...

Sitaki kuitwa tena mahali kujieleza kama ilivyotokea mwanzo mtu kufunga safari all that way, kwenda kuwafundisha watu kusoma alama tuu ya kuuliza!.
P
Huyo jamaa ni kaka kumbe? Nkajua ni maza
 
Halafu wabunge wa UK wakiwa Bungeni wanasimamia msimamo yao na siyo msimamo wa kiongozi wao wa kusifu na kuabudu. Mimi naona wabunge wa CCM wajifunze kutoka kwa wabunge wa Conservative kuna watu wamejiuzulu binge wao kwa kutoafikiana na kiongozi wao wetu wanaweza? Hasa Kibajaji si atarudi kuchimba zege? Thubutu! Ndiyo faida ya kuchsgua wabunge masikini ambao maisha Yao inategemea ubunge. Hawana professional yoyote, ubunge ukiisha hana maisha.
Sijaona mbunge wa Conservative kabla hajajua Mustafa anaanza kumsifia prime minister. Huku kwetu kituko kila anaeongea owe bungeni, waziri, katibu kata nk kabla hajaleta ujumbe lazima stymie robo saa ku worship kwanza awamu ya5 pis serikali ya John Joseph Pombe
Si kweli
 
Issue kubwa ni kwamba mazingira ya kisiasa ikiwemo uimara wa mifumo ya Uingereza na Tanzania ni tofauti kabisa.
 
Umechemka, hakuna kusichopingwa kortin.

Kwa taarifa tu leo mahakama imeamua kulifunga bunge ni batili na kinyume cha sheria.

Sijui aliyekuambis maamuzi ya malkia hayapingwi ni nani?
Ndugu zangu,

Nimekuwa nikifuatilia mjadala wa Brexit katika Bunge la makabwela (house of commons) la UK.Nilichogumdua kambi ya upinzani chini ya Jeremy Cobyn wanajenga uhalali wa hoja zao huku wakitaka kuungwa mkono na waingereza na si mataifa ya nje.

Leo tumeshuhudia maspika wa mabunge yote lile la mabwanyenye (house of Lords) na makabwela (house of commons) walitangaza kuahirisha mijadala kwa wiki tano hadi tarehe 14 October,2019,kufuatia amri iliyosainiwa na malkia wa Uingereza ambayo haiwezi kupingwa kortini kwani wabunge,mawaziri na waziri Mkuu UK huapa kutii maagizo ya mfalme au Malkia.

Ninayasema haya kwa sababu najua Jeremy Cobyn ni bosi wa Zitto Kabwe,na vile vile Chadema na Tundu Lissu wamekukuwa wakiishitaki Tanzania kwa waingereza ili washinikize wananchi kupitia serikali kurejea utumwa wa fikra.Mara kadhaa Zitto,Tundu na Chadema wameandika barua kwenye ofisi za Balozi na Bunge la UK ili Watanzania washindwe na kurudi kwenye utumwa bila mafanikio.

Jeremy Cobyn,hajawahi kutaka msaada wa nchi za nje ili kumpa shinikizo Borris au Malkia bali anashawishi wananchi na wabunge.Hili ni fundisho,kama wanasiasa wa upinzani wataendelea kukumbatia utumwa na fikra za kushikiwa akili hakika wananchi tutawapuuza.

NB:Katika andiko hili,Chadema inamaanisha Mbowe na wafuasi wa Chadema, Tundu Lissu ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe ni Zitto Kabwe.

Tujadili kwa mantiki.
 
Tumia akili kidogo mzee, Ingekua kuna uhuru wa mikutano kama UK, bunge live kama UK, free speech kama UK, basi nakwambia hao wapinzani uliowataja wangetumia mbinu hizo hizo za korby au hata zaidi, ila kwa mambo yalivyo sasa acha tu wawategemee hao waingereza ndo option ambayo inawaumiza serikali kwa sasa.
Ndugu zangu,

Nimekuwa nikifuatilia mjadala wa Brexit katika Bunge la makabwela (house of commons) la UK.Nilichogumdua kambi ya upinzani chini ya Jeremy Cobyn wanajenga uhalali wa hoja zao huku wakitaka kuungwa mkono na waingereza na si mataifa ya nje.

Leo tumeshuhudia maspika wa mabunge yote lile la mabwanyenye (house of Lords) na makabwela (house of commons) walitangaza kuahirisha mijadala kwa wiki tano hadi tarehe 14 October,2019,kufuatia amri iliyosainiwa na malkia wa Uingereza ambayo haiwezi kupingwa kortini kwani wabunge,mawaziri na waziri Mkuu UK huapa kutii maagizo ya mfalme au Malkia.

Ninayasema haya kwa sababu najua Jeremy Cobyn ni bosi wa Zitto Kabwe,na vile vile Chadema na Tundu Lissu wamekukuwa wakiishitaki Tanzania kwa waingereza ili washinikize wananchi kupitia serikali kurejea utumwa wa fikra.Mara kadhaa Zitto,Tundu na Chadema wameandika barua kwenye ofisi za Balozi na Bunge la UK ili Watanzania washindwe na kurudi kwenye utumwa bila mafanikio.

Jeremy Cobyn,hajawahi kutaka msaada wa nchi za nje ili kumpa shinikizo Borris au Malkia bali anashawishi wananchi na wabunge.Hili ni fundisho,kama wanasiasa wa upinzani wataendelea kukumbatia utumwa na fikra za kushikiwa akili hakika wananchi tutawapuuza.

NB:Katika andiko hili,Chadema inamaanisha Mbowe na wafuasi wa Chadema, Tundu Lissu ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe ni Zitto Kabwe.

Tujadili kwa mantiki.
 
Habari na mada kama hizi zahitaji Watu wenye kufikiria sana
Ila wale Vibendera fuata mkumbo hawata kuelewa kabisa
Narudia kusema Tanzania bado hatuja pata Upinzani hawa tulio nao ni Wachumia tumbo tu
 
Habari na mada kama hizi zahitaji Watu wenye kufikiria sana
Ila wale Vibendera fuata mkumbo hawata kuelewa kabisa
Narudia kusema Tanzania bado hatuja pata Upinzani hawa tulio nao ni Wachumia tumbo tu

Wachumia tumbo wamejenga airport Chato, na wengine walijiuzia migodi
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom