Jiwe atamtuma Lukuvi kuwa kiwanja kina mgogoro
Hiii hiiChadema hii ya Tz au Ile ya kule Somalia?
Hahahaa....... Lands muombe msaada kwa mfalme was Morocco!
Utasikia aliyewauzia kiwanja amewarudishia hela zao.Jiwe atamtuma Lukuvi kuwa kiwanja kina mgogoro
Mkuu kila nikiona comment yako naona lazima um-cc mahondaw
The main issue of having a common sense nowadays is that you will have to deal with those who are lacking it.Naona choo tu
TanganyikaChadema hii ya Tz au Ile ya kule Somalia?
Hahahahh hivi karibuni. Lini na wapi? Chadema aibu zenu.
Naona choo tu
Hatimaye iitwayo saccoss imeamua kuwa na ofisi zake? Wanajengea makao makuu au kwenye mji wa biashara?
Mkuu Hata wao Jongo hawafahamu ila wao wanajenga Jengo la OfisiMbona mchoro unaonyesha ni Hotel ! Jongo la ofisi haliwezi kuwa na sura hiyo.