ukianika sidiria huwezi kuanua gagulo...
hizi ni salam kwa Mwizi Keenja.
Alituzurumu 2005 watu na akili zetu tukatoka jumba la maendeleo urafiki machozi yanatutoka kwa uchungu.
Lakini tulishikana mikono na kukubaliana kuwa 2010 ama zao ama zetu.
In Allah we trust.
Ni viti zaidi ya 9 mpaka jana usiku,ila nadhani tutazidi kukomba viti zaidi
mapinduzi zaidi
Mkuu, ungetumia akili kidogo tu ungeona jinsi gani ambavyo sio rahisi kwa Mnyika kuwa aliibiwa ushindi mwaka 2005. Kama ingekuwa iliwezekana wakati ule, sioni jinsi ambavyo isingewezekana wakati huu, hasa ukizingatia kuwa, kuna watu wasio na aibu zaidi wakati huu kuliko wakati ule.ukianika sidiria huwezi kuanua gagulo...
hizi ni salam kwa Mwizi Keenja.
Alituzurumu 2005 watu na akili zetu tukatoka jumba la maendeleo urafiki machozi yanatutoka kwa uchungu.
Lakini tulishikana mikono na kukubaliana kuwa 2010 ama zao ama zetu.
In Allah we trust.