nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
na Waandishi wetu
"na Waandishi wetu" sisi kina nani, wanachama wa JamiiForums?
Au mwandishi wa gazeti la chama kwenda kwa wanachama? Mwandishi umeficha chanzo cha habari, kwa sababu unajua kuwa mtu yeyote mwenye half a brain akisikia imesemwa "chama kinashamiri" lazima atatafuta "nani kasema"? Hahahahaaa...
CHADEMA "yazidi kutikisa" kwa sababu inazoa wanachama wa CCM, lakini hukusema CCM imeshazoa wangapi! Hahahahahhaaaaa...
Chadema ni chama cha msimu tu. .. Jakaya Mrisho Kikwete.
"na Waandishi wetu" sisi kina nani, wanachama wa JamiiForums?
Au mwandishi wa gazeti la chama kwenda kwa wanachama? Mwandishi umeficha chanzo cha habari, kwa sababu unajua kuwa mtu yeyote mwenye half a brain akisikia imesemwa "chama kinashamiri" lazima atatafuta "nani kasema"? Hahahahaaa...
CHADEMA "yazidi kutikisa" kwa sababu inazoa wanachama wa CCM, lakini hukusema CCM imeshazoa wangapi! Hahahahahhaaaaa...
Juzi kwenye mkutano wa Chadema mheshimiwa Tundu Lissu alisema kwamba watanzania walio wengi hawana vyama ambayo ni zaidi ya 85% ya watanzania wote. Sasa inakuwaje Chadema inaweka nguvu nyingi kwenye kuwachukua wana CCM kuliko kuwapata wananchi ambao si wanachama wa chama chochote?
....Na msimu wenyewe utaisha lini vile!?