Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa simiyu amekitosa rasmi chama hicho na kujiunga na chama cha kizalendo CCM
Moja ya sababu kubwa aliyoianisha ni kuwa amechoshwa na tabia mbaya za viongozi wa juu wa CHADEMA kupinga maendeleo yanayoletwa na Rais Magufuli, pia ubadhirifu wa fedha za Chama zinazotafunwa na viongozi wa juu
Amesema huu ni mwanzo tu,amehaidi kuifuta CHADEMA Simiyu kwani anajua mipango miovu aliyokuwa akitekeleza alipokua Chadema