Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Ilikuwa ijumaa karim
si mbishi kama unavyofikiria, isipokuwa yeye ni sehemu ya mfumo uliomweka kileleni. usitegemee yeye kuwatosa bosi zake, lazima alinde heshima yao. wa kuweza kufanya uamuzi sahihi tena kwa kujali si maslahi ya mfumo tawala uliopo, bali kwa kujali uzalendo na kutanguliza utaifa ni WATANZANIA TU, full stop!!!!!!!!!!!!!