CHADEMA yatikiswa. Ziara ya Magufuli Arusha yaacha gumzo. Wamsubiri Kinana watimize hamu ya kiu yao

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
DSC00516-1.jpg
 
Hebu achaneni na Arusha tafuteni sehemu nyingine ,wewe unafikiria Magufuli kuvaa nguo za kijeshi Arusha maana yake ni amekuja kwa makamanda na anawapa heshima yao hata Kama anaumia ,ongelea dodoma huko
 
Back
Top Bottom