Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Hii inaonyesha kuwa bado waafrika tunachechemea kuelekea ustaarabu.
Bado tunaendelea kuwa jamii shenzi(primitive) na ambayo imeshindwa kujisimamia baada ya uhuru.
Roma haikujengwa kwa siku moja.
Maendeleo yapo lakini bado ni kidogo sana, tuendelee kustruggle hata kuufikia ustaarabu hapo baadae.
Bado tunaendelea kuwa jamii shenzi(primitive) na ambayo imeshindwa kujisimamia baada ya uhuru.
Roma haikujengwa kwa siku moja.
Maendeleo yapo lakini bado ni kidogo sana, tuendelee kustruggle hata kuufikia ustaarabu hapo baadae.