Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,278
- 5,515
Kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzto
Tangu lini maiti ikafa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini maiti ikafa
Kichwa kwako ni sanduku la kuhifadhia meno tu!
Sio kwamba wabunge bila Bawacha ni bure?Bawacha bila wabunge ni bure!
Inaitwa point of no return. the last breath # chadema.Wakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
Smart how!Mwamba ni smart, historia itamkumbuka.
Kwa hiyo kina Mdee wanakuwa ni kina nani!!??
ni wabunge ama wageni wa bunge.....
hiki ni kituko cha karne
kimsingi mbowe ameona ile rufaa wakina mdee watashinda,na Kama wakina mdee watashinda Mana yake,bado ni wanachama halali,na Kama hivyo,watakuwa bado nyazifa zao ndani ya cdm ni halali,ikiwa ni hivyo Basi itamlazimu mbowe atafute sababu yenye nguvu itakayo watia hatiani akina mdee na hatimaye kuwavua uanachama au kuwavua kwenye nyazifa zao au vyote kwa pamoja ndani ya cdm,na kwakuwa haya Mambo yanategemea kiasi gani utacheza na vifungu vya sheria lolote laweza kutokea.hivyo Basi ile rufaa ndo kete pekee ya mbowe ,na pia kete pekee kwa kina mdee.sasa hapo ndo akili kukichwa.mbowe ameamua aicheze hii kete mapema,hapa inamaana mbowe ameingiza kingi 2,ambazo kimtazamo zimewabana wakina mdee,yaani anakingi ya rufaa ambayo bado iko pending,na anakingi ya kuingiza uongozi mpya .hapo Sasa kete moja kwa kina mdee vs kingi 2 kwa mbowe.Ni uminyaji wa demokrasia ndani ya Chadema.
Bila kusikilza rufaa unakwendaje atua moja mbele.
umeona magazeti siku hizi au media zinavyo wa report? WABUNGE WA VITI MAALUMU . haitajwi chama gani wale ni freelancersKwa hiyo kina Mdee wanakuwa ni kina nani!!??
ni wabunge ama wageni wa bunge.....
hiki ni kituko cha karne
Chadema imeishajifia mudaBaraza la wanawake wa Chadema ( BAWACHA ) , limetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujaza nafasi za Wasaliti waliotimuliwa ndani ya Chama wakiongozwa na Halima Mdee .
Fomu za Kugombea nafasi hizo za uongozi wa Bawacha Taifa zinapatikana kwenye ofisi za Mikoa za Chadema , ofisi za Kanda zote na ofisi ya Bawacha Makao Makuu , DSM , ambapo wanawake wote wa Chadema wenye uwezo wanaombwa kuchangamkia nafasi hizo Muhimu na zenye heshima kubwa .
Form zinaanza kutolewa tarehe 25 february 2021 ambapo zoezi la kuchukua na kurejesha form hizo litadumu hadi tarehe 3 March 2021 saa 10 jioni .
View attachment 1711946
Mungu ibariki Chadema
Haya maigizo mtamdanganya naniiWanawake jitokezeni kuwania hizo nafasi.
Hatudanganyiki na haya mambo yenuu.Baraza la wanawake wa Chadema ( BAWACHA ) , limetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujaza nafasi za Wasaliti waliotimuliwa ndani ya Chama wakiongozwa na Halima Mdee .
Fomu za Kugombea nafasi hizo za uongozi wa Bawacha Taifa zinapatikana kwenye ofisi za Mikoa za Chadema , ofisi za Kanda zote na ofisi ya Bawacha Makao Makuu , DSM , ambapo wanawake wote wa Chadema wenye uwezo wanaombwa kuchangamkia nafasi hizo Muhimu na zenye heshima kubwa .
Form zinaanza kutolewa tarehe 25 february 2021 ambapo zoezi la kuchukua na kurejesha form hizo litadumu hadi tarehe 3 March 2021 saa 10 jioni .
View attachment 1711946
Mungu ibariki Chadema
Tuendelee kuwashauri CDM 🤣🤣🤣Wakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
Kisheria wakirudisiwa unachama, basi wanakuwa wamerudishiwa na haki zao zote walizokuwa nazo kabla ya kuvuliwa uanachama, ikiwa ni pamoja na nafasi za uongozi walizokuwa nazo wakati huo. Subira huko BAWACHA ilihitajika.kitu pekee ambacho kinaweza kutokea wakishinda rufaa ( japo hilo halipo ) ni kurejeshewa uanachama , si kurejeshewa uongozi
..wataambiwa waombe uanachama upya.Kisheria wakirudisiwa unachama, basi wanakuwa wamerudishiwa na haki zao zote walizokuwa nazo kabla ya kuvuliwa uanachama, ikiwa ni pamoja na nafasi za uongozi walizokuwa nazo wakati huo. Subira huko BAWACHA ilihitajika.
.kimsingi mbowe ameona ile rufaa wakina mdee watashinda,na Kama wakina mdee watashinda Mana yake,bado ni wanachama halali,na Kama hivyo,watakuwa bado nyazifa zao ndani ya cdm ni halali,ikiwa ni hivyo Basi itamlazimu mbowe atafute sababu yenye nguvu itakayo watia hatiani akina mdee na hatimaye kuwavua uanachama au kuwavua kwenye nyazifa zao au vyote kwa pamoja ndani ya cdm,na kwakuwa haya Mambo yanategemea kiasi gani utacheza na vifungu vya sheria lolote laweza kutokea.hivyo Basi ile rufaa ndo kete pekee ya mbowe ,na pia kete pekee kwa kina mdee.sasa hapo ndo akili kukichwa.mbowe ameamua aicheze hii kete mapema,hapa inamaana mbowe ameingiza kingi 2,ambazo kimtazamo zimewabana wakina mdee,yaani anakingi ya rufaa ambayo bado iko pending,na anakingi ya kuingiza uongozi mpya .hapo Sasa kete moja kwa kina mdee vs kingi 2 kwa mbowe.
wanaweza kuomba upya iwapo rufaa yao itakataliwa, ila ikikubaliwa, maana yake ni kuwa uamauzi wa kuwavua uanachama ni batili na wanabaki kama wanachama na haki zao za uanchama kama ilivyokuwa mwanzo...wataambiwa waombe uanachama upya.
wanaweza kuomba upya iwapo rufaa yao itakataliwa, ila ikikubaliwa, maana yake ni kuwa uamauzi wa kuwavua uanachama ni batili na wanabaki kama wanachama na haki zao za uanchama kama ilivyokuwa mwanzo.
Hiyo wanaweza kupelekana mahakamani tena. Ni kusema kuwa kama chama hakimpendi kiongozifulani basi kinavunja katiba yao kwa kumvua uanachama ili kusudi nafasi yake apewe mwingine. CHADEMA ina njia nyingine za kisheria kuwavua madaraka viongozi wake, lakini hii siyo mojawapo...hawatorudishiwa nyadhifa kwasababu nafasi zao zilijazwa wakati chama kikiwa hakiwatambui kuwa ni wanachama.
Hiyo wanaweza kupelekana mahakamani tena. Ni kusema kuwa kama chama hakimpendi kiongozifulani basi kinavunja katiba yao kwa kumvua uanachama ili kusudi nafasi yake apewe mwingine. CHADEMA ina njia nyingine za kisheria kuwavua madaraka viongozi wake, lakini hii siyo mojawapo.
Kwani mtu akishakuwa mwanachama moja kwa moja si anakuwa na sifa za kugombea uongozi? liangalieni hili mnajichanganya sana CHADEMA.kitu pekee ambacho kinaweza kutokea wakishinda rufaa ( japo hilo halipo ) ni kurejeshewa uanachama , si kurejeshewa uongozi