CHADEMA yatangaza Kongamano Kubwa la Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi Arusha Mjini

Hawa wahuni wameanza vurugu zao tena,watu wapo na furaha za mama kuupiga mwingi mnatuletea vurugu zenu hiki chama sijui kitastaarabika lini utafikiri wanakula vya Arusha ni shida tupu..

Hivi hawa waTanzania wenzetu wa mtaa wa Lumumba wana kamusi yao ya kipekee kiSwahili, maana 'wahuni' , 'chokochoko' 'vurugu ' 'Matusi' n.k katika kamusi ya kiSwahili sanifu ina maana nyingine kabisa.
Newspeak is the fictional language of Oceania, a totalitarian superstate that is the setting .... The political purpose of Newspeak is to eliminate the expression of the shades of meaning inherent in ambiguity and nuance from Oldspeak (Standard English)
Au labda CCM wameanzisha lugha yao wanayoidai ni 'kiSwahili-CCM' ambacho sisi wazungumzaji wa kiSwahili halisi hatukielewi ?

Nia na madhumuni ya chama kongwe kuanzisha lugha yao ya kubuni kwa kubadilisha maana halisi ya manenona vitendo pia uandikaji bila kusahau uzungumzaji ni kuendeleza ukandamizaji kupitia udikteta uchwara kwa kuwafanya watu wasiweze kufikiria katika namna iliyo halisi ya nafsi ya mtu-huru ili wasibaini njama kuu ya muendelezo wa ukandamizaji, ubaguzi na kuhodhi akili za raia.

Kamusi Ya Kiswahili Sanifu by Tanzania Institute of Kiswahili Research, 9780195723694

Totalitarian language : Orwell's Newspeak and its Nazi and communist antecedents​

In this analysis of the language of totalitarianism, John Wesley Young examines the manipulation of language by Nazi and Communist regimes. Relating the language of totalitarian regimes to the language Newspeak in George Orwell's satirical novel "1984", Young addresses the similarities and differences between the real and fictional languages, demonstrates the accuracy of Newspeak, and explores the degree of control that language can exert over the thought and behaviour of a people. Based on Orwell's own perceptions of political, literary and linguistic practices, Newspeak is used in the novel by a totalitarian dictatorship to create a distorted view of reality and to control the thought and behaviour of its subjects. It is a language in which heretical ideas cannot be expressed or even concieved. Young's analysis of the speeches and writings of actual dictators, particularly in Nazi Germany and the Soviet Union, reveals a similar propagandistic structure in the use, or misuse, of language, the purpose of which was to enslave and control the populace. Young's analysis of the effects of these languages on the subjects of totalitarian dictatorships reveals that although Orwell's Newspeak was a potent instrument of control over the thought and behaviour of the citizens, the language of actual totalitarian regimes was not nearly so successful. When official rhetoric and reality did not agree, the skepticism and cynicism of the people gave rise to the phenomenon of counterlanguages that attempted to reinscribe the reality of life under dictorial rule. Young evaluates the extent to which thought control succeeded under the Nazi and Soviet regimes and considers the implications that these findings offer for linguistic determinism.
(source: Nielsen Book Data Totalitarian language : Orwell's Newspeak and its Nazi and communist antecedents in SearchWorks catalog



www.nbcnews.com
How Dictators Keep Control

21 Dec 2011 — Psychologists and sociologists who study terrorism say dictators are able to spread fear among their people, and place themselves as their only ... Psychologists and sociologists who study terrorism say dictators are able to spread fear among their people, and place themselves as their only salvation.

Manufacturing an external threat,...Dictators also exploit a well-known instinct for most people to seek protection from a strong leader, according to Alice LoCicero, a Cambridge, Mass.-based clinical psychologist and researcher on leadership...
"It would be embarrassing to a family or individual if they didn't show a great deal of respect," she said.

Dictators are also able to rule with more practical tools, such as fear and control of information, according to Jerrold Post, director of the political psychology program at George Washington University....

source : How Dictators Keep Control
 
Movement zote za Chadema hazijawahi kufanikiwa, huwa mpo kimaslahi tu, hapo mnapambania katiba mara tume huru, lengo kuu Ni muende bungeni ,

Miaka yote mmekuwa hivo, JPM alipowapoteza kwenye ulingo wa siasa ,mmeanza Tena Movement uchwara

Operation sangara,M4C,Join The Chain, n.k hazijawahi kufanikiwa
Kwani kwenda Byngeni, kama wanancgi wamekuchagua, huoni ni jambo jema?

Mbaya kwenda bungeni kwa njia za kishetani kama alizoasisi Magufuli, yaani yeye kuamua nani awe mbunge hata kama wananchi hawamtaki.

Magufuli usimtaje. Yule alikuwa ni laana kwa Taifa. Uovu na uchafu wake vinajulikana kwa kila mwemye akili.

Unapimaje mpaka kufikia conclusion kuwa movements za CHADEMA hazijawahi kufanikiwa?
 
sI
Mama ndio anazuia watu au vyombo vya dola, Cdm hatuna silaha, tutapata katiba mpya kwa msukumo huu huu.
Sidhani kama mnajua nini mnataka, mchakato wa katiba mpya ni dili viongozi wenu wanalitaka hili wapige hela, katiba hata ikiwa ya US na watu ni walewale is equivalent to nothing, hii ya sasa inavunjwa na both sides, nini kinafanyika?
 
Movement zote za Chadema hazijawahi kufanikiwa, huwa mpo kimaslahi tu, hapo mnapambania katiba mara tume huru, lengo kuu Ni muende bungeni ,

Miaka yote mmekuwa hivo, JPM alipowapoteza kwenye ulingo wa siasa ,mmeanza Tena Movement uchwara

Operation sangara,M4C,Join The Chain, n.k hazijawahi kufanikiwa
Tuliza makalio shughuli ndio kwanza imeanza.
Viva Chadema
 
Wanamtisha chifu hangaya ili awaondoe covid 19. Wameshaona ngoma hii mahakamani hawatoboi. Mbiwe anataka aitwe tena ikulu ili apewe pesa. Ameshamgeuza huyu mama mtaji.

Enzi za JK walikuwa wakitoa matamko wanaitwa ikulu, kisha unaona kimya na wala hawajawahi kusema waliyokuwa wanazungumza wakikutana na Jk zaidi ya kuona picha wakinywa juice.
Sawa tulia shughuli ndio kwanza imeanza.
Katiba mpya ni muhimu sana
 
Hawa wahuni wameanza vurugu zao tena,watu wapo na furaha za mama kuupiga mwingi mnatuletea vurugu zenu hiki chama sijui kitastaarabika lini utafikiri wanakula vya Arusha ni shida tupu..
Kongamano la katiba mpya ni kwa ajili ya kujadili umuhimu wa katiba.
Hayo mambo ya vurugu yanatokea wapi?!
Shirikisha ubongo
 
sI

Sidhani kama mnajua nini mnataka, mchakato wa katiba mpya ni dili viongozi wenu wanalitaka hili wapige hela, katiba hata ikiwa ya US na watu ni walewale is equivalent to nothing, hii ya sasa inavunjwa na both sides, nini kinafanyika?

Unasema katiba mpya ni dili la viongozi ili wapige hela, halafu unasema hatujui nini tunataka? Kwahiyo kupiga hela sio kujua nini tunataka? Acha kutoa maoni ya fuata mkumbo, maana unaonekana juha tu. Tunataka hiyo mpya ili ivunjwe.
 
Unasema katiba mpya ni dili la viongozi ili wapige hela, halafu unasema hatujui nini tunataka? Kwahiyo kupiga hela sio kujua nini tunataka? Acha kutoa maoni ya fuata mkumbo, maana unaonekana juha tu. Tunataka hiyo mpya ili ivunjwe.
I am not a juha, tuna katiba nzuri sana TZ, na haifuatwi, mnafanyaje nyie wakuu kuhakikisha hii katiba iliyopo inafuatwa? Makelele tuu mitandaoni, follow up nothing
 
Maadui namba moja ni ccm na genge lake waliotawala zaidi ya miaka 60 lakini mpaka leo Watanzania wananuka umasikini wa kutupwa.
Chief umaskini wa TZ upo na uhusiano na umaskini wa bara la Afrika, we have to sit as a continent na kufikiri jinsi gani tunaliokoa bara letu, its not a matter of individual nations
 
Back
Top Bottom