Mchemiaa
Senior Member
- Jan 7, 2018
- 174
- 188
unawashwaNONSENSE!!!!!!!!!!!!!!!
unawashwaNONSENSE!!!!!!!!!!!!!!!
umeandika kwa kutumia puru ya nyuma
Dubila kumwondosha bashite, mtakufa sana jamaa haoni tabu kutoa roho ya mtu kisa madaraka,
Nchi imefikia patamu sana .Unemsahau Bashite??
Huyo ndiyo master mind wao, anasikilizwa hivi sasa CCM zaidi ya PM!
Tetesi zilizopo ni kuwa yeye kama Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi ya Mkoa ndiye aliyeidhinisha wale askari waje na silaha za moto pale penye maandamano, na lengo ilikuwa "kuwamaliza" viongozi wa Chadema.
Lakini Bahati nzuri Mungu bado anawayetea na ndiyo sababu zile risasi ambazo "target" yake zilikuwa viongozi wakuu wa Chadema, kwa muujiza mkubwa "ikadivert" na kwenda kwenye daladala na kutwaa maisha ya yule binti ambaye hakuwa na hatia Akwilina
Viongozi wa tume huru hawateuliwi na rais, na hawatskiwi wafungamane na chama chochote cha siasa. Kutakuwa na chombo kitakacho husika kuteua viongozi wa tume . Hata mkurugenzi wa manispala hataruhusiwa kujishughulisha katika shughuli zote za uchaguzi. Na tume huru haiwezi kuwa huru kama katiba haitabadilishwa.Hebu tuelezen tume huru hua inakuaje? Inateuliwaje?inateuliwa na nan?na hao watu wanatoka nchi gani?
Unemsahau Bashite??
Huyo ndiyo master mind wao, anasikilizwa hivi sasa CCM zaidi ya PM!
Tetesi zilizopo ni kuwa yeye kama Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi ya Mkoa ndiye aliyeidhinisha wale askari waje na silaha za moto pale penye maandamano, na lengo ilikuwa "kuwamaliza" viongozi wa Chadema.
Lakini Bahati nzuri Mungu bado anawayetea na ndiyo sababu zile risasi ambazo "target" yake zilikuwa viongozi wakuu wa Chadema, kwa muujiza mkubwa "ikadivert" na kwenda kwenye daladala na kutwaa maisha ya yule binti ambaye hakuwa na hatia Akwilina
Msiwe mnatumia maneno msiyoyajua vema! Kwani kuna puru ngapi katika mwili wako? Na tangu lini kukawa na puru ya mbele na nyuma? Nendeni darasani kusoma na sio kujifunza kutumia simu na kukua!umeandika kwa kutumia puru ya nyuma
Leta ushahidi usiotia shaka hapa juu ya ccm kumkataa vinginevyo wewe na huyo mrundi mwenzako polepole mna hoja ya kujibu juu ya aina hii ya siasa ambazo hazikuwahi kuwepo duniani hapa!Kubenea aliomba kuhama chadema kuja CCM ,CCM ikamkataa kuwa ni mzigo.Mbunge aliyeongelewa na Polepole kuwa kakataliwa sababu ni mzigo ni kubenea Chadema zigo lenu la misumari kubenea hilo linajisafisha bakini nalo CCM tumelikataaa
Wewe mwenye elimu iliyonyooka imekusaidia nini hadi sasa? Think great dude!Huyu ndio mwenye elimu ya hapa na pale
Wanaogopa kutozwa faini, kwa kuwa Press conference yoyote inayoitishwa na Chadema, kwa tafsiri yao watawala, watakuwa wanatoa lugha ya uchochezi!Yani siku hizi sioni mic(maiki) za ITV, STAR TV au CHANNEL TEN kwenye press za upinzani, kulikoni Tanzania!!
Tutafute na nani? Tafuta mwenyewe kwani kwa mwingine kinamfaa? Nawe ni mhamasishaji team polepole, le mutus au le professeri bashite? Jifunze kutumia nafsi unapotaka kuwasilisha hoja na epuka kutumia wingi kwani naamini wewe sio mjamzito!Haha hizi propaganda za chadema za kitoto sana tz tutafute chama kingne pinzani chenye akili sio ufipa nyumbuzii