Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,641
- 218,091
Asiye na akili ndio pekee awezaye kuandika kama wewe , hivi unadhani unaweza kumtisha mtu hapa jf ?kwan ni lazima yule kapewa hiyo huduma coz hakua miongoni mwa waandamanaji....andamana ufe uone kama utapewa ata sh. mia ata familia ikikataa kukuzika utazikwa na manispaa...upinzani unatakiwa kuelewa kuna baba wa familia na vijana wa familia so huwezi kua chini ya baba afu unataka kumwambia asiende kutembea kisa una mzidi pesa au elimu...wapinzan tatizo ni kujiona wao ndio wanafaa kuliko waliemkuta. hapo lazima mpigwe sana