Chadema yataka JK alaani uporaji wa madaraka Ivory Coast

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233

Kurugenzi ya mambo ya Nje ma Mahusiuano ya Kimataifa ya Chadema imeitaka serikali kulaani hadharani matukio ya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya kidemokrasia ya kimataifa unaofanywa na Laurent Gbagbo na wafuasi wake nchini Ivory Coast.

Aidha, kurugenzi hiyo inatoa mwito kwa Rais Jakaya Kikwete kutamka hadharani kumtambua Alassane Ouattara kuwa ndiye mshindi wa kiti cha urais katika nchi hiyo na kulaani vitendo vinavyofanywa na Gbagbo na wafuasi wake.

Taarifa iliyotolewa na Mkrugenzi wa Mambo ya Nje na Mahusiano ya kimataifa ya Chadema john Mnyika ilisema:

“Inashangaza kwamba wakati Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Afrika (AU) na serikali za nchi mbali mbali ndani na nje ya Afrika zimetoa matamko ya wazi, serikali ya Tanzania imekuwa ikifanya diplomasia ya kimya. Hii ni tofauti kabisa na wakati wa Mwalimu Nyerere ambapo Tanzania ilikuwa mstari wa mbele na kutoa misimamo ya wazi ya kukemea vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora.”………………………………………………………………..


…………..Habari katika Nipashe katika Nipashe Jumapili.
 

Kurugenzi ya mambo ya Nje ma Mahusiuano ya Kimataifa ya Chadema imeitaka serikali kulaani hadharani matukio ya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya kidemokrasia ya kimataifa unaofanywa na Laurent Gbagbo na wafuasi wake nchini Ivory Coast.

Aidha, kurugenzi hiyo inatoa mwito kwa Rais Jakaya Kikwete kutamka hadharani kumtambua Alassane Ouattara kuwa ndiye mshindi wa kiti cha urais katika nchi hiyo na kulaani vitendo vinavyofanywa na Gbagbo na wafuasi wake.

Taarifa iliyotolewa na Mkrugenzi wa Mambo ya Nje na Mahusiano ya kimataifa ya Chadema john Mnyika ilisema:

“Inashangaza kwamba wakati Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Afrika (AU) na serikali za nchi mbali mbali ndani na nje ya Afrika zimetoa matamko ya wazi, serikali ya Tanzania imekuwa ikifanya diplomasia ya kimya. Hii ni tofauti kabisa na wakati wa Mwalimu Nyerere ambapo Tanzania ilikuwa mstari wa mbele na kutoa misimamo ya wazi ya kukemea vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora.”………………………………………………………………..


…………..Habari katika Nipashe katika Nipashe Jumapili.

mkuu siyo inafanana na hii
 

Kurugenzi ya mambo ya Nje ma Mahusiuano ya Kimataifa ya Chadema imeitaka serikali kulaani hadharani matukio ya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya kidemokrasia ya kimataifa unaofanywa na Laurent Gbagbo na wafuasi wake nchini Ivory Coast.

Aidha, kurugenzi hiyo inatoa mwito kwa Rais Jakaya Kikwete kutamka hadharani kumtambua Alassane Ouattara kuwa ndiye mshindi wa kiti cha urais katika nchi hiyo na kulaani vitendo vinavyofanywa na Gbagbo na wafuasi wake.

Taarifa iliyotolewa na Mkrugenzi wa Mambo ya Nje na Mahusiano ya kimataifa ya Chadema john Mnyika ilisema:

"Inashangaza kwamba wakati Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Afrika (AU) na serikali za nchi mbali mbali ndani na nje ya Afrika zimetoa matamko ya wazi, serikali ya Tanzania imekuwa ikifanya diplomasia ya kimya. Hii ni tofauti kabisa na wakati wa Mwalimu Nyerere ambapo Tanzania ilikuwa mstari wa mbele na kutoa misimamo ya wazi ya kukemea vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora."………………………………………………………………..


…………..Habari katika Nipashe katika Nipashe Jumapili.


JK hawezi kutoa la namna hiyo bila ya kujiuma mdomo, kwani hadi sasa chama chake kinaendeleza unporaji, au tuseme unyang'anyi wa halmashauri mbali mbali hapa nchini. Labda akishamaliza shughuli hiyo ndiyo atatamka.
 

Kurugenzi ya mambo ya Nje ma Mahusiuano ya Kimataifa ya Chadema imeitaka serikali kulaani hadharani matukio ya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya kidemokrasia ya kimataifa unaofanywa na Laurent Gbagbo na wafuasi wake nchini Ivory Coast.

Aidha, kurugenzi hiyo inatoa mwito kwa Rais Jakaya Kikwete kutamka hadharani kumtambua Alassane Ouattara kuwa ndiye mshindi wa kiti cha urais katika nchi hiyo na kulaani vitendo vinavyofanywa na Gbagbo na wafuasi wake.

Taarifa iliyotolewa na Mkrugenzi wa Mambo ya Nje na Mahusiano ya kimataifa ya Chadema john Mnyika ilisema:

“Inashangaza kwamba wakati Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Afrika (AU) na serikali za nchi mbali mbali ndani na nje ya Afrika zimetoa matamko ya wazi, serikali ya Tanzania imekuwa ikifanya diplomasia ya kimya. Hii ni tofauti kabisa na wakati wa Mwalimu Nyerere ambapo Tanzania ilikuwa mstari wa mbele na kutoa misimamo ya wazi ya kukemea vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora.”………………………………………………………………..


…………..Habari katika Nipashe katika Nipashe Jumapili.

Thubutuuu!hawezi kulaani anayoyafanya Bagbo coz hata yeye alifanya hayo hayo,nafsi inamsuta.
 
Chadema sio wa kumtaka JK afanye nini, wao si hawamtambui? Na au hawatambui namma alivyochaguliwa? Sasa leo vipi? Au ndio kujipendekeza kwenyewe huku?

Au ndio wamesha "rudi"?
 
Chadema sio wa kumtaka JK afanye nini, wao si hawamtambui? Na au hawatambui namma alivyochaguliwa? Sasa leo vipi? Au ndio kujipendekeza kwenyewe huku?

Au ndio wamesha "rudi"?

Sasa si tume yake aliyoiteua ilimtangaza kuwa Rais hata baada ya CDM kuiandikia isitangaze matokeo? Kwa kuwa ni Rais wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, atoe tamko tu ili mwenzake anayeng'ang'ania madarakani Gbagbo amwambie kuwa "na wewe mbona unang'ang'ania madarakani!"
 
Kabla hajalaani mporaji mwenzake basi lazima ajiuzulu kwanza. Tofauti ni kwamba JK amelindwa na katiba, lakini wote wawili ni majambazi wa kura
 
Ni kweli hana uwezo kusema lolote dhidi kwa kuwa kilichotokea ivory cost ni copy and paste, sema kule ivory cost nec ilikuwa huru ila yakafanyika mapinduzi. Tanzania daima ilionesha kuwa hapa pia yalikuwa mapinduzi kwahiyo jk mutamwonea hana moral authority ya kulaani manake akisema tuu gbabo naye atasema mjomba hata wewe???
 
mmh yaani nanii amkemee nanii mwenzake? sijui kama itawezekana yangu masikio.
 
JK mwenyewe mwizi wa kura sasa anapata wapi nguvu za kumkemea mwizi mwenzie
 

Kurugenzi ya mambo ya Nje ma Mahusiuano ya Kimataifa ya Chadema imeitaka serikali kulaani hadharani matukio ya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya kidemokrasia ya kimataifa unaofanywa na Laurent Gbagbo na wafuasi wake nchini Ivory Coast.

Aidha, kurugenzi hiyo inatoa mwito kwa Rais Jakaya Kikwete kutamka hadharani kumtambua Alassane Ouattara kuwa ndiye mshindi wa kiti cha urais katika nchi hiyo na kulaani vitendo vinavyofanywa na Gbagbo na wafuasi wake.

Taarifa iliyotolewa na Mkrugenzi wa Mambo ya Nje na Mahusiano ya kimataifa ya Chadema john Mnyika ilisema:

“Inashangaza kwamba wakati Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Afrika (AU) na serikali za nchi mbali mbali ndani na nje ya Afrika zimetoa matamko ya wazi, serikali ya Tanzania imekuwa ikifanya diplomasia ya kimya. Hii ni tofauti kabisa na wakati wa Mwalimu Nyerere ambapo Tanzania ilikuwa mstari wa mbele na kutoa misimamo ya wazi ya kukemea vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora.”………………………………………………………………..


…………..Habari katika Nipashe katika Nipashe Jumapili.

Yeye mwenyewe kapora ushindi wa uchaguzi mkuu na anaendelea kupora ushindi kwenye umeya, sasa huo ubavu wa kutoa tamko ataupata wapi?
 
JK hana moral authority ya kufanya hivyo!

Our internal matters need to be worked upon first, so he is worth not to react to other sovereigns in the prematurity of the Ivorian troubles




If tho people can't solve a simple riddle then one man shall never entertain it at all, due to vividity of failure
 
Lakini hatatvibaka wa simu wanaochomwa moto pale kariakoo huchomwa na vibaka wenzao, hivyo naye JK asione aibu, aseme tu tutamsikiza.
 
JK hawezi kutoa la namna hiyo bila ya kujiuma mdomo, kwani hadi sasa chama chake kinaendeleza unporaji, au tuseme unyang'anyi wa halmashauri mbali mbali hapa nchini. Labda akishamaliza shughuli hiyo ndiyo atatamka.

Mkuu, umetoa point kama yangu. Ukweli Jk hawezi kutoa kauli juu ya hilo maana yatamgeuka baadaye. kama ile tume inayodaiwa na CHADEMA ikiundwa, atakuwa kikaangoni. paka hawezi kumtidhia paka mwenzake. yeye anajua njia zake zilizomweka madarakani.
 
Back
Top Bottom