CHADEMA ENDELEENI KUFANYA MIKUTANO YENU CHINI YA MTI KAMA MLIVYOZOEA. MSIJE MKATUHARIBIA IKULU. KUWAKARIBISHA JUICE TU MLITAKA KUGOMBANIA JE VIKAO. KAENI HUKO HUKO UFIPA.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeitaka Serikali kuweka wazi utaratibu unaosemwa kwamba ulifuatwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kufanya mkutano wao wa Chama Ikulu jijini Dar es salaam, ili kila mmoja ajue iwapo atahitaji kwenda kufanya mkutano hapo.
Akizungumza na mwandishi wa habari wa East Africa Television, Mkurugenzi wa Itikadi, Mawasiliano na Mambo ya Nje, wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bwana John Mrema, amesema kama ukumbi huo wa Ikulu unaruhusiwa kifanyika mkutano na mtu yeyote, basi waweke wazi utaratibu wa bei ili wengine nao wakiwa na vikao vyao wasisite kwenda ili kuongeza pato la Taifa.
Chanzo: East Africa Television
Noma sana Chadema wamekuwa ni watu wa KurukA rukA kama ndege amenaswa kwenye mtego.Poleni Chadema, mmekuwa kama kunguru
....Habari ya ufipa, unyanyembe, lumumba unajua wewe, mimi huku Likawage siyajui hayo. Ikulu ni majengo ya serikali ya watanzania wote, sasa kama mmeamua kuifanya kumbi za mikutano ya vyama na mengineyo basi wekeni bei sasa.Point ni nini?? Kumbi zimeisha?? Wivu utawaua wana ufipa.
Tehe tehe....mkuu naona uko ngunguri kichama zaidi.....mpaka rangi ya herufi.Noma sana Chadema wamekuwa ni watu wa KurukA rukA kama ndege amenaswa kwenye mtego.
Hakuna kitu kinachoniuma hapa duniani kama ccm kuhodhi mali zilizotafutwa/jengwa na watanzania wote kama viwanja vya mpira kuvifanya vyao. Ilaaniwe hata hukumu ya mahakama iliyokaa chini ya majaji wenye kadi za ccm kufanya uamuzi wa hovyo kuidhinisha mali za wananchi kuwa za ccm. Kwa uanasheria wangu sijawahi sikia duniani popote mahakama ikaendelea kuamua kesi ambayo mdai ameachana nayo, dawa ilikuwa ni kuifuta kesi na sio kuamua on merit!! Naamini lawyers mnanielewa hapo. Naamini kuna siku tutapata "Hon. Maranga" wetu wa kurudisha mali za watanzania zinazohodhiwa na miccmArusha yeye ndiye alikiuka taratibu! Sherehe za kijeshi hufanyika chuoni Monduri kila mwaka! Walipeleka uwanja wa ccm pale Arusha kwa ajili ya kutimiza mipango yao ya kisiasa! Hata hivyo vile viwanja vilijengwa na wananchi wote enzi za wazee wetu!
CHAMA HIKI KIPO KICHWANI MKUU, NASUBURI TU UCHAGUZI UANZE MNIONE BUNGENITehe tehe....mkuu naona uko ngunguri kichama zaidi.....mpaka rangi ya herufi.
Nakutakia kila la heri mkuu.CHAMA HIKI KIPO KICHWANI MKUU, NASUBURI TU UCHAGUZI UANZE MNIONE BUNGENI
Sasa kama unakubali ikulu nibya serikali, serikali kwani ninya chadema??....Habari ya ufipa, unyanyembe, lumumba unajua wewe, mimi huku Likawage siyajui hayo. Ikulu ni majengo ya serikali ya watanzania wote, sasa kama mmeamua kuifanya kumbi za mikutano ya vyama na mengineyo basi wekeni bei sasa.
Fuateni utaratibu, sio mnaombea instagram alafu mnategemea mtajibiwa!!Mtukufu si amesema kila MTU anaruhusiwa
Ndo hoja zao. Sitashangaa kama waliita press conference, and then na uliza tu kwa mambo yetu ya kibongo hawa waandishi hawapewei bahashaaaaa.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeitaka Serikali kuweka wazi utaratibu unaosemwa kwamba ulifuatwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kufanya mkutano wao wa Chama Ikulu jijini Dar es salaam, ili kila mmoja ajue iwapo atahitaji kwenda kufanya mkutano hapo.
Akizungumza na mwandishi wa habari wa East Africa Television, Mkurugenzi wa Itikadi, Mawasiliano na Mambo ya Nje, wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bwana John Mrema, amesema kama ukumbi huo wa Ikulu unaruhusiwa kifanyika mkutano na mtu yeyote, basi waweke wazi utaratibu wa bei ili wengine nao wakiwa na vikao vyao wasisite kwenda ili kuongeza pato la Taifa.
Chanzo: East Africa Television
Kwa refa aina ya lubuva...unategemea watashinda uchaguzi??Washinde Uchaguzi kwanza, hiyo ndo bei yake!
Hakuna athari wakati CCM imetumia pesa na mali za umma kwa manufaa ya chama!!Kuna mambo hayana 'athari' kwa UMMA.
kilichobaki ni huruma ya wanachi tu ndo wanatakaMambo mengine si ya kuyang'ang'ania sana...
Wapinzani wasiwe watu wa matukio,kila likitokea jambo lishikiwe bango!
Funika kombe mwanaharamu apite...kuna mambo mengi ya kujadili kuliko hilo jambo!