Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,434
- 215,205
Mbowe ni muungwana sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ndizo siasa zake siku zote. Husoma mazingira na kuigiza kuagiza kabla ya kutengua kauli zake. Mbowe is something. Anawaweza sana CHADEMA!
Hiyo mikutano ingefanyikia wapi?!#COVID19EastAfrica
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza kuwa chama hicho kimeahirisha mikutano yote iliyopangwa kuanza Aprili 4, 2020 ili kuepuka mikusanyiko ya watu inayoweza kusababisha maambukizi ya virusi vya #Corona.
Naona ubongo wako umeuazimisha mahali. Katika uwezo huu ulio nao sasa hivi nitashangaa kama kuna mtu anaweza kukufata akiamini anamfuata Mwanasheria timamuHizo ndizo siasa zake siku zote. Husoma mazingira na kuigiza kuagiza kabla ya kutengua kauli zake. Mbowe is something. Anawaweza sana CHADEMA!
Mbunge Paresso, yeye ni waziri wa Afya kivuli katika bunge la JMTHuyo Dada upande wa kulia Ni Nani?
Ingawa umemtukana ulitakiwa ujipe muda zaidi kutafakari alichosema Petro E. Mselewa kina ukweli flani.
Live youtube #Glema Tv
Huelewi unaongea nini! Sasa mbona serikali yako inaharisha wakisikia kuhusu chadema.Hahaha. wanasiasa bhana, as if kweli walikuwa na uwezo wa kuandamana, niliandika humu kwamba katangaza makusudi akijua mpaka muda huo tiari mikutano ishazuiliwa hapo anafanya kuepuka aibu tu !
Joto sitini Huyo mtu au tanuru/furnace?View attachment 1397117
Lakini hapa Kigogo umeongeza chumvi, 60 centigrade haijafika ukisema 40 centigrade tutaelewa.