Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
SO now is not Upinzani against CCM; its Upinzani against Upinzani; Hehehe very interesting; nilishangaa CUF wakikusanyana Dar badala ya rasilimali zao kuzipeleka Mbeya vijijini; ngoja tuone mwisho wake
Chadema amesahau kama CUF ni Chama nambari mbili ndani ya Tanzania,anachojaribu kutaka kufanya Chadema ni kutumia sloganz za ufissadi kupiku wengine kwa kutumia hilo anataka kila sehemu aachiwe yeye japo hakubaliki,vyama vimepatana kuwa pale mgombea anapokubalika basi wapinzani wajiunge na kumchagua anaekubalika, mpinzani ambae amekubalika katika uchafuzi mkuu uliopita kwa upande wa Mbeya nambari mbili alikuwa ni mgombea wa CUF sasa Chadema walikuwa na kitu gani cha kukataa kumuunga mkono kama si uchoyo,ina maana kila unapotokea uchaguzi basi muungwaji mkono awe ni kutoka Chadema tu haya ndio yale yale ya Raisi wa Zanzibar lazima atoke Unguja na hilo ndilo amuzi la CCM na ndio Chadema wanavyotaka kwa jinsi inavyoonekana,hapa walikuwa Chadema waonyeshe uungwana lakini umewashinda .