Habari zilizothibitishwa ni kwamba katika manaspaa ya Moshi CHADEMA wamefanikiwa kutwaa vitii 18 vya udiwani dhidi ya viti 3 vya CCM. Hivyo kuwapa nafasi kuunda halmashauri ya manispaa.
katika matokeo ya Vunjo mrema lyatonga Augustine anaongoza na pia jiombo la Rombo Selasini wa Chadema anaongoza kwa margin ndogo sana
SORCE: Report ya star TV
katika matokeo ya Vunjo mrema lyatonga Augustine anaongoza na pia jiombo la Rombo Selasini wa Chadema anaongoza kwa margin ndogo sana
SORCE: Report ya star TV