Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,570
- 217,923
Kauli hii ya Kizalendo imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mhe. John Mnyika , wakati akiongea na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya kuliko jambo lingine lolote kwa sasa .
Mh Mnyika amesema kwamba ikiwa Serikali yetu haina hela za kugharamia Mchakato huu kutokana na sababu zozote zile basi kwa kupitia CHADEMA Wananchi wako tayari kuchangia pesa taslimu , ambapo AMEIOMBA SERIKALI IANZISHE KODI MAALUM ITAKAYOITWA KODI YA KUCHANGIA KATIBA MPYA , huku akidai kwamba chama chake kiko tayari kuhamasisha Wananchi , ambao nao wameahidi kuwa tayari kuchangia
Mh Mnyika amesema kwamba ikiwa Serikali yetu haina hela za kugharamia Mchakato huu kutokana na sababu zozote zile basi kwa kupitia CHADEMA Wananchi wako tayari kuchangia pesa taslimu , ambapo AMEIOMBA SERIKALI IANZISHE KODI MAALUM ITAKAYOITWA KODI YA KUCHANGIA KATIBA MPYA , huku akidai kwamba chama chake kiko tayari kuhamasisha Wananchi , ambao nao wameahidi kuwa tayari kuchangia