CHADEMA yashauri Katiba ifuatwe kuunda Serikali, Waziri Mkuu na Mawaziri waliopo hawakuapa mbele ya Rais wa sasa

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
0874BE89-B64F-4E21-81ED-7765CF4E2D9B.jpeg
351D53AA-3891-455E-B599-3505527704D0.jpeg
DE72382A-8361-4D0A-A3F5-DA82FF930671.jpeg
 
inaonekana chadema wanadhani ktk kipindi hiki chini Mhe. Rais Samia wanaweza kupenyeza ajenda zao na zikafaulu sijui!!

ni ngumu sana, labda kwanza waanze kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa dhati vinginevyo watasubiria sana.

hakuna litakalo wezekana bila utii kwa mamlaka na unyenyekevu, vuruvuruu ndio inawa cost kila siku.

ndio maaana Hayati JPM aliwapotezea maaana aliamini kuwa hawana nia njema na serikali yake. chadema mkitaka kweli kuijenga nchi yetu basi onyesheni utii na ushirikiano wa kujenga nchi, acheni malumbano yasiyo na tija. sote ni watanzania tuijenge nchi yetu kwa kutanguliza uzalendo mbele.

hakuna mshindi ktk kuijenga nchi bali kuna adui asiye itakia mema nchi yetu.

nchi ni yetu sote tuijenge nchi yetu sote kwa pamoja.
 
inaonekana chadema wanadhani ktk kipindi hiki chini Mhe. Rais Samia wanaweza kupenyeza ajenda zao na zikafaulu sijui!!!!
ni ngumu sana, labda kwanza waanze kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa dhati vinginevyo watasubiria sana.
hakuna litakalo wezekana bila utii kwa mamlaka na unyenyekevu, vuruvuruu ndio inawa cost kila siku.
Angalau hawatopigwa risasi au kutekwa kwa kutoa tu hoja zao. Hoja inajibiwa kwa hoja
 
Back
Top Bottom