Kamende
JF-Expert Member
- Mar 1, 2008
- 416
- 45
Waheshimiwa nina furaha kubwa moyoni baada ya kuleta hapa jamvini maelezo ya vifaa vya kusaidia katika kuwaandaa kikamilifu mawakala ili waweze kulinda kura kwa umakini.
Mtakumbuka kuwa niliomba msaada wa kuingiza video hiyo humu jamvini baada ya kuiconvert kuwa VCD. Tayari CHADEMA wamebadili DVD hiyo ya mafunzo na kuifanya VCD ili kila atakayeipata aweze kuicopy. Pia wamechapisha nakala nyingi za kipeperushi cha mwongozo wa wafundishaji baada ya kukiboresha. Asanteni sana makamanda wa NGOME makao makuu.
Siku ya Jumapili wiki iliyopita makamanda wa CHADEMA walikuwa Kituo Kikuu cha mabasi yaendayo mikoani Ubungo wakituma vifurushi vya vitini hivyo vya mwongozo mia moja na VCD moja kwa kila jimbo la Tanzania.
Wakuu nawaomba sasa mvifuate vitendea kazi hivyo kwa makatibu wa mikoa, majimbo na wilaya zenu ili mutoe msaada katika kuwezesha mafunzo majimboni mwenu.
KWA HAKIKA TUTASHINDA: KILA MMOJA WETU ASHIRIKI KAZI HII TAKATIFU!!
TUTALIPWA MBINGUNI!!!
MBARIKIWE SANA NA MUNGU!!!
Mtakumbuka kuwa niliomba msaada wa kuingiza video hiyo humu jamvini baada ya kuiconvert kuwa VCD. Tayari CHADEMA wamebadili DVD hiyo ya mafunzo na kuifanya VCD ili kila atakayeipata aweze kuicopy. Pia wamechapisha nakala nyingi za kipeperushi cha mwongozo wa wafundishaji baada ya kukiboresha. Asanteni sana makamanda wa NGOME makao makuu.
Siku ya Jumapili wiki iliyopita makamanda wa CHADEMA walikuwa Kituo Kikuu cha mabasi yaendayo mikoani Ubungo wakituma vifurushi vya vitini hivyo vya mwongozo mia moja na VCD moja kwa kila jimbo la Tanzania.
Wakuu nawaomba sasa mvifuate vitendea kazi hivyo kwa makatibu wa mikoa, majimbo na wilaya zenu ili mutoe msaada katika kuwezesha mafunzo majimboni mwenu.
KWA HAKIKA TUTASHINDA: KILA MMOJA WETU ASHIRIKI KAZI HII TAKATIFU!!
TUTALIPWA MBINGUNI!!!
MBARIKIWE SANA NA MUNGU!!!