MALUNGU
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 250
- 97
katika hali ambayo haikutarajiwa wakazi wa kata za Genge na Tingeni wilayani Muheza wameapa kuwachagua madiwani wa cdm. Tumeamua kuanza na mabadiliko bila kujali tofauti zetu za vyama. Walisema wakazi hao. Kamanda Mbowe aliongeza amusha amusha ktk eneo la Kerenge then viwanja vya Teule mjini hapa siku ya Ijjumaa. Wagombea ni Mh.Yosepha Komba Ferdinand-Halima Mdee wetu na sisi si maneno yangu ni wakazi wa kata ya Genge-mjini hapa. Na Mh. Omari Hatibu Salim.