Kicheba One
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 399
- 194
Wanajamvi, mpaka sasa CHADEMA imepita bila kupingwa hii imetokana na wagombea wa CCM kujaza ovyo fomu zao,wagombea wa CHADEMA wamewawekea mapingamizi makali ambayo mpaka muda huu taarifa toka kwenye vikao vya kushughulikia mapingamizi wamekiri wagombea wa CCM wameboronga hivyo wameenguliwa,vijiji hivyo na vitongoji.
Nitawaletea majina yake.
Nitawaletea majina yake.