Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Moja ya sera rasmi mpya za Chadema zilizotangazwa hivi karibuni ni kutohamishia makao makuu ya mji mkuu wa kiserikali na kibiashara kutoka Dar es salaam kwenda Dodoma hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa mambo ya nje wa chama hicho Bw. John Mnyika
Alisema mbali na azma yao ya kuachilia mbali mpango wa kuhamishia Makao Makuu kwenda Dodoma majengo yote ya serikali Dodoma yatageuzwa kuwa vyuo vikuu vya elimu na vyuo vya ufundi ili jiji hilo liwe kitovu cha elimu nchini.
......ni kitu gani kilichokifanya Chama cha Mapinduzi CCM miaka ya sabini kiwe na kusudio la kuhamia Dodoma je hilo kusudio kwa sasa bado lipo na je kwa nini Chadema hawataki makao makuu ya nchi yawe Dodoma, tujiulize ni gharama au ni kutaka tu kutofautiana
Alisema mbali na azma yao ya kuachilia mbali mpango wa kuhamishia Makao Makuu kwenda Dodoma majengo yote ya serikali Dodoma yatageuzwa kuwa vyuo vikuu vya elimu na vyuo vya ufundi ili jiji hilo liwe kitovu cha elimu nchini.
......ni kitu gani kilichokifanya Chama cha Mapinduzi CCM miaka ya sabini kiwe na kusudio la kuhamia Dodoma je hilo kusudio kwa sasa bado lipo na je kwa nini Chadema hawataki makao makuu ya nchi yawe Dodoma, tujiulize ni gharama au ni kutaka tu kutofautiana