Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,264
- 105,428
Kama hii nayo ni sera ya CHADEMA, basi CCM wataendelea kutawala mpaka wachoke maana the alternative ni Utaahira. Walio na busara wanasema 'Kama huna cha kusema ni bora ukafunga domo lako kuliko ukalifungua halafu kila mtu akautambua umbumbu wako'. CHADEMA inakoelekea sasa ni kubaya.
Kama hutatoa sababu za kuonyesha ni kwa nini unafikiri hivi basi utathibitisha kwamba hujajipa jina lako kwa ajali.