Chadema yapingana rasmi na CCM kuhamishia makao makuu Dodoma

Kama hii nayo ni sera ya CHADEMA, basi CCM wataendelea kutawala mpaka wachoke maana the alternative ni Utaahira. Walio na busara wanasema 'Kama huna cha kusema ni bora ukafunga domo lako kuliko ukalifungua halafu kila mtu akautambua umbumbu wako'. CHADEMA inakoelekea sasa ni kubaya.

Kama hutatoa sababu za kuonyesha ni kwa nini unafikiri hivi basi utathibitisha kwamba hujajipa jina lako kwa ajali.
 
Kama hii nayo ni sera ya CHADEMA, basi CCM wataendelea kutawala mpaka wachoke maana the alternative ni Utaahira. Walio na busara wanasema 'Kama huna cha kusema ni bora ukafunga domo lako kuliko ukalifungua halafu kila mtu akautambua umbumbu wako'. CHADEMA inakoelekea sasa ni kubaya.

Salamu mkuu. Mia kwa 100%.
Ume click vyema
 
Kama hii nayo ni sera ya CHADEMA, basi CCM wataendelea kutawala mpaka wachoke maana the alternative ni Utaahira. Walio na busara wanasema 'Kama huna cha kusema ni bora ukafunga domo lako kuliko ukalifungua halafu kila mtu akautambua umbumbu wako'. CHADEMA inakoelekea sasa ni kubaya.


The alternative ni utaahira Why? bila sababu wewe ndiye utaonekana taahira
 
Miaka ya Seventies ndio Dodoma ilipatiwa hadhi ya kuwa makao makuu ya serikali, kama ni maendeleo tungeyaona just after ten years, na hii mambo imekaa sana kisiasa make mpaka sasa huwezi kabisa kuona kama Dodoma ni makao makuu ya serikali, we angalia tu miundo mbinu ya hayo makao makuu ya serikali, utafikiri ni kijiji underdevelopment scheme, huwezi jua kabisa hapa ni makao makuu ya serikali, i was in Dodoma for 4yrs in ninties, lakini nimekuwa nikipita hapo several times and i have never noticed any change, yaani badala ya kusonga mbele mimi binafsi naona retro-progressing, it is shame!!

lazima tunaposema kuwa tunaingia kwenye kitu fulani basi vitendo viwepo, kama ni makao makuu ya serikali mbona mpaka sasa Raisi na serikali yake wapo Dar, sasa Dodoma kuwa makao makuu inatoka wapi--------Nenda Lagos kama utakuta serikali ipo pale, serikali yote ilihamia Abuja baada ya kutangaza kuhamisha makao makuu ya serikali ya Nigeria. Tanzania tunabaki kubwabwaja tu wakati tunajua kuwa sio kweli.

Open up your scurs man, scrutch your bull if not brain

Bado tunahamisha makao makuu ya nchi kwa miaka 37! (1973-2010) na haijulikani hili zoezi litaisha lini. Only in Bongo! :confused:
 
Mambo mengine ni kupotezeana muda tuu,nchi haina umeme na rushwa kila kona wao wanatuletea debate za ofisi za mafisadi zijengwe wapi...wanyamaze tuu!
 
Kama hii nayo ni sera ya CHADEMA, basi CCM wataendelea kutawala mpaka wachoke maana the alternative ni Utaahira. Walio na busara wanasema 'Kama huna cha kusema ni bora ukafunga domo lako kuliko ukalifungua halafu kila mtu akautambua umbumbu wako'. CHADEMA inakoelekea sasa ni kubaya.

Hata Babaako Makamba mwenyewe haamini kama Dodoma ni Makao Makuu na hawezi kutoka Hadharani kupingana na CHADEMA katika hili maana hata watu wasio na Akili watamuuliza kwa kumuumbua kwamba mbona mmeshindwa kufanya hivyo for more than 30 years
 
watahama mwaka ujao wa fedha!!
Mbona tulishaanza kuhama siku nyingi tu. Baadhi ya wizara watumishi wake walilipwa gharama zote za kuhama. Wizara ya Maji waliondoka pale Sokoine Drive kuelekea Dodoma wakaishia Ubungo enzi za EL akiwa waziri. TAMISEMI wao walitangulia siku nyingi ingawa bado hawajafika huko Dodoma.
Maofisa wa wizara hizi "zilizohama" wakienda Dodoma wanalipwa tena posho! Hivyo ndivyo tunavyoendesha nchi bila utashi na nia ya kweli kutekeleza yale tunayoyaamua.
 
Moja ya sera rasmi mpya za Chadema zilizotangazwa hivi karibuni ni kutohamishia makao makuu ya mji mkuu wa kiserikali na kibiashara kutoka Dar es salaam kwenda Dodoma hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa mambo ya nje wa chama hicho Bw. John Mnyika

Kwanza napenda kumwomba J.Mnyika atudhihirishie hiyo kampeni yake yakupinga kuhamishwa makao makuu ya mji wa kiserikali na kibiashara toka Dar to Dom?

.....Alisema mbali na azma yao ya kuachilia mbali mpango wa kuhamishia Makao Makuu kwenda Dodoma majengo yote ya serikali Dodoma yatageuzwa kuwa vyuo vikuu vya elimu na vyuo vya ufundi ili jiji hilo liwe kitovu cha elimu nchini......

Actually i dont get him, wataka kuniambia kuwa majengo mengi ya Dom mjini ni mali ya CCM? au wao wanaajenda fulani yakutaka kubakia Dar,

......ni kitu gani kilichokifanya Chama cha Mapinduzi CCM miaka ya sabini kiwe na kusudio la kuhamia Dodoma je hilo kusudio kwa sasa bado lipo na je kwa nini Chadema hawataki makao makuu ya nchi yawe Dodoma, tujiulize ni gharama au ni kutaka tu kutofautiana

Wao chadema wataka hayo makao makuu yahamishiwe wapi Kilimanjaro, Mbeya, Mwanza? hii topic ya kuhamia DOM ilikuwepo to 1980's kwa kukufahamisha, Hapo nikuwauliza hao viongozi wa CCM since that time wao walikuwa wanafanya nini mpaka miaka ina kwenda hawajahamia DOM?

J.Mnyika labda uni convince kwa kujenga hoja ya majimbo hapo natkuelewa ati DAR imeitangulia mikoa mingine mbali sana kiasi kwamba kila kitu its in DAR hata kampeni ya Malaria tu ati itafanyikia Dar what is this? check occasion nyingi tu ni Dar.

To be Honestly Wana JF me ni wakwanza na kukubaliana DODOMA iwe makao makuu ya kiserikali. ndio tuta expand kimaendeleo.



 
- Bravo Chadema, huwezi kuwa unahamia Dodoma, wakati kila siku unachota hela za kodi yetu wananchi na kukarabati Ikulu na Ofisi za serikali Dar kila siku, huwezi kuwa unahamia Dodoma wakati unajenga nyumba mpya za mawaziri Dar, I mean sasa unataka zijengwe Flyovers Dar, now this is insane kama sio insanity!

- CCM wafike mahali wawekwe kiti moto na waamue moja, kama wanataka kuhamia Dodoma au waache mara moja kuharibu hela za wananchi, kwa hili Chadema wako right on the money ni nothing but uwajibikaji, kwanza Chadema wamechelewa sana na hii ishu!

- I mean talking about kero kwa wananchi! kuhamia Dodoma should have been number one ishu on the table!

Respect


FMEs!
 
Mbona tulishaanza kuhama siku nyingi tu. Baadhi ya wizara watumishi wake walilipwa gharama zote za kuhama. Wizara ya Maji waliondoka pale Sokoine Drive kuelekea Dodoma wakaishia Ubungo enzi za EL akiwa waziri. TAMISEMI wao walitangulia siku nyingi ingawa bado hawajafika huko Dodoma.
Maofisa wa wizara hizi "zilizohama" wakienda Dodoma wanalipwa tena posho! Hivyo ndivyo tunavyoendesha nchi bila utashi na nia ya kweli kutekeleza yale tunayoyaamua.


Ha ha haaa eti waliishia ubungo mataa umenifurahisha kweli Tamisemi walipeleka wafagiaji na watunza bustani wakadai wameshahamia Dodoma hii bongo bwana kaazi kweli
 
Ndio CHADEMA,wameonyesha kuchoshwa na siasa za CCM zisizokuwa na masilai kitaifa,tokea tuko wadogo tunasikia serikali inaamia Dodoma lakini mpaka sasa nina miaka 30 akuna kilichofanyika,zaidi zaidi ni hawa viongozi wa CCM tuna banana nao B-Bar kila siku,ukiwa umeagiza nyama yako akija yeye anapewa kabla yako ata kama amechelewa,kwenye ATM wanawatukana na kuwafukuzisha kazi ndugu zetu walinzi wa ATM kisa kuwambia wakae pembeni ili kupisha wateja wengine.
Tunateseka sana na hawa viongozi wa CCM kwani wao wamekuwa ni miungu watu siku hizi,kiongozi yoyote wa CCM atakama ameteuliwa jana anajiona watu wote wana mfaamu kwaiyo anafanya anavyotaka.
Serikali ya CCM imeshindwa kuiga mfano wa NIGERIA katika kutenganisha mji wa Abuja na Lagos,wangeamia mji mwingine kama Dodoma/Moro mji huo ungeendelea kwa kasi sana ila awataki wanataka kukaa Dar es salaam tu kila kitu Dar es salaam.

Na kwa taarifa yetu maafisa na wahandisi kutoka Serikali ya Nigeria miaka hiyo ya nyuma walikuja kujifunza kutoka Tanzania mbinu za kuhamisha Makao Makuu toka Lagos kwenda Abuja. Labda tuwaulize waliokuwa CDA ilikuwaje Nigeria wakatu-overtake baada ya kujifunza kutoka kwetu? Tanzania itajengwa na wenye Moyo!
 
Na kwa taarifa yetu maafisa na wahandisi kutoka Serikali ya Nigeria miaka hiyo ya nyuma walikuja kujifunza kutoka Tanzania mbinu za kuhamisha Makao Makuu toka Lagos kwenda Abuja. Labda tuwaulize waliokuwa CDA ilikuwaje Nigeria wakatu-overtake baada ya kujifunza kutoka kwetu? Tanzania itajengwa na wenye Moyo!


Hakuna haja ya kutafuta mchawi wakati anajulikana tusiwasingizie CDA wao wanapokea amri kutoka serikali kuu Tanzania haitajengwa na wenye moyo pekee bali wenye moyo safi na wazalendo halisi wa Tanzania.
 
Hakuna haja ya kutafuta mchawi wakati anajulikana tusiwasingizie CDA wao wanapokea amri kutoka serikali kuu Tanzania haitajengwa na wenye moyo pekee bali wenye moyo safi na wazalendo halisi wa Tanzania.
I salute you sir and I totally agree with you that Tanzania itajengwa na wenye moyo safi na wazalendo halisi. But all in all CDA was the "authority" ndio waliokuwa wamepewa jukumu la usimamizi na utekelezaji kwa hiyo wao wako kwenye position nzuri ya kutuelewesha vizuri zaidi ni wapi tulipokwama na kwa nini tulikwama katika azma ya Serikali kuhamia Dodoma maana. Perdiem is such a flimsy excuse!
 
Sasa mkuu huoni kuwa pia wanafunzi wanahitaji huduma muhimu ambazo hazitapatikana huko mapolini nafikiri labda Chadema imeona kuhamia Dodoma italigharimu taifa mabilioni ya fedha ambazo zingeweza kusaidia secta zingine
nikweli chadema wanahuruma na fedha zitakazo tumika wakati huwo ni bora sekta muhimu ziboreshwe
 
hivi serikali ya tanzania wanatuona kuwa watanzania niwajinga sana na hatutaki kufahamu yaliyo ndani ya seikali yetu? kwakuwa kunashutuma za kweli za chenge mbina mapaka sasa hawajibishwi wakati imegundulika kulikuwana hujuma tena mpaka washikaji wanatulipa chenge awajibishwe huyu simtu wa kumchekea ni hatari kwa taifa mjadala uendelee mpaka kieleweke
 
Hivi CHADEMA wanadhani they are the only 'brains' in this country? John Mnyika aende Lagos na Abuja aone jinsi ambavyo kutenganisha Lagos kuwa mji wa biashara na Abuja kuwa mji wa Serikali kulivyoisaidia Nigeria. Hivi sasa jiji la Dar es Salaam karibu litafika Kibaha. Serikali ikihamia Dodoma kutakuwa na idadi kubwa ya watu watakaohama hapa jijini kuifuata Serikali na kupunguza msongamano uliopo.

Tanzania bado inayo mapori mengi mno yanayosubiri kufyekwa ambako kunaweza kuwa 'vitovu vya elimu' wanavyotaka Chadema. Kwanza wanafunzi wanahitaji sehemu tulivu kwa nini iwe mjini Dodoma ambako tayari kuna vurugu?
YOU KNOW WHAT.....!
WANA UCHAGUZI AMBAO TAYARI ULISHAKUMBWA NA KASHFA YA RUSHWA UCHAGUZI CHADEMA
SASA WANATAFUTA HOJA MBADALA KUEPUKANA NA HILI.....!WAMEKURUPUKIA HOJA DHAIFU AMBAYO KWAYO HAWATOKI......!
Dodoma utabaki kama ilivyopangwa....!
 
Back
Top Bottom