wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Besta Mlagila, Mi naona ingefaa kama mkutano umeisha alafu hizo bendeza zikaendelea kuwepo ndio wangepewa hiyo barua kidogo hilo tamko lingeleta mantiki.
Itafika mahali hata zile tunazoona kwenye mahotel makubwa nazo zitapigwa marufuku
Itafika mahali hata zile tunazoona kwenye mahotel makubwa nazo zitapigwa marufuku