bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 642
Chadema imezidi kujiimarisha hadi nje ya mipaka ya Tanzania baada ya mwanachama mpya Hussein Msabaha kukabidhi
gari tawi la washington DC ili liweze kutumika kwa ajili ya kuwafikia watanzania wapenda mabadiliko wanaoishi Marekani.
Hongera watanzania munaotambua nyakati na kutambua wajibu wakila mtu kuleta mabadiliko katika taifa letu.
Bofya hapo chini ujisomee mwenyewe
Blog: VIJIMAMBO
Post: TAWI LA CHADEMA WASHINGTON DC LAKABIDHIWA GARI NA MDAU HUSSEIN KAUZELA MSABAHA
Link: VIJIMAMBO: TAWI LA CHADEMA WASHINGTON DC LAKABIDHIWA GARI NA MDAU HUSSEIN KAUZELA MSABAHA
gari tawi la washington DC ili liweze kutumika kwa ajili ya kuwafikia watanzania wapenda mabadiliko wanaoishi Marekani.
Hongera watanzania munaotambua nyakati na kutambua wajibu wakila mtu kuleta mabadiliko katika taifa letu.
Bofya hapo chini ujisomee mwenyewe
Blog: VIJIMAMBO
Post: TAWI LA CHADEMA WASHINGTON DC LAKABIDHIWA GARI NA MDAU HUSSEIN KAUZELA MSABAHA
Link: VIJIMAMBO: TAWI LA CHADEMA WASHINGTON DC LAKABIDHIWA GARI NA MDAU HUSSEIN KAUZELA MSABAHA