Elections 2010 CHADEMA Yapeta Mpanda mjini; Yarudisha majimbo yake yote except 1!!

Wa Ndima

JF-Expert Member
Aug 13, 2010
1,526
323
Matokeo ya awali Mpanda Mjini Said Arfi wa Chadema anaongoza vituo 27 kati ya 28 mpaka sasa

Katika vituo vingine na kura za wagombea katika mabano ni
Azimio 1, Chadema (124), CCM (23),
Azimio 2, Chadema (72), CCM (62),
Azimio 3 Chadema (88), CCM (49),
Azimio 4, Chadema (72), CCM (55),
Azimio 5, Chadema (72), CCM (62).

Katika kituo cha Paradise 1, Chadema (64), CCM (62),
Paradise 2, Chadema (94), CCM (55),
Paradise 3, Chadema (100), CCM (68),
Paradise 4, Chadema (94), CCM (63),
Majengo Chadema (73), CCM (65),
Makanyagio 1, Chadema (64), CCM (63),
Makanyagio 2, Chadema (86), CCM (59).
Makanyagio 3, Chadema (103), CCM (73),
Makanyagio 4, Chadema (92), CCM (64),
Makanyagio 5, Chadema (88), CCM (69),
Isikama 1, Chadema (90), CCM (67),
Isikama 2, Chadema (108), CCM (78),
Isikama 3, Chadema (90), CCM (73).

UPDATES:

Taarifa nilizozipokea sasa hivi kutoka kwa Mhe Zitto aliyepo huko Mpanda Mjini ni kwamba CHADEMA wameshinda kwa tofauti ya kura 607 kwa majumuisho ya kura kutoka katika vituo. Kinachosubiriwa ni msimamizi kutangaza matokeo na kwa uzoefu kutoka uchaguzi uliopita hapo ndipo songombingo ilipo!
 
Matokeo ya awali Mpanda Mjini Said Arfi wa Chadema anaongoza vituo 27 kati ya 28 mpaka sasa

Wa Ndima hizo ni habari njema sana.

Tulisahau kama kuna Uchaguzi tena katika baadhi ya majimbo.

Endelea kutuhabarisha Mkuu.
 
Wa Ndima hizo ni habari njema sana.

Tulisahau kama kuna Uchaguzi tena katika baadhi ya majimbo.

Endelea kutuhabarisha Mkuu.



hahahah safi sana, wachakachuaji wako Dodoma wanakula vyuku chako ni chako lolo
 
Matokeo wameshahesabu mara mbili, wana,alizia mara ya tatu chadema a aongoza kwa kura 150 zaidi tu. Lisiingizwe sanduku feki angalieni wana mageuzi
 
Ninajua CCM kwa aibu na kuona kuwa nchi za magharibi zilibaini mchezo wao mchafu wa chakachua basi watajifanya kuzifanya chaguzi hizi kuwa free and fair. Lakini hilo halisaidii kitu kwani the damage has been done
 
dah,nitalia kwa kweli jamaa asiposhinda,ila naamini lazima ainuke kama nguvu za polisi hazitazuia nguvu ya umma kama nilivosoma leo gazetini
 
Mimi nina mashaka kwa sababu it is too close to call. Kama vituo vya mjini Chadema anaongoza kwa ushindi mdogo, kuna hatari kura za vituo vya nje ya mji hali ikabadilika ghafla. Daima ukitaka Chadema ishinde, inabidi ishinde sana.
 
ila watu waliojitokeza ni wachache sana, wengi waliojitokeza ni vijana. Wakina mama wao hawakuwa wengi
 
Hivi ndivyo ilivyotakiwa kuwa.. na matokeo ya Urais yangekuwa yanarushwa hivyo hivyo.. !!! Uzuri pia ingekuwa na source nyingine ya pili au ya tatu na yenyewe inarusha matokeo.. Thanks wa "nyumbani"
 
yaani ccm pamoja na kuwaarifu polisi kuwakamata mawakala wa chadema toka Kigoma bado chadema wanawachachafya tu?
 
Matokeo ya awali Mpanda Mjini Said Arfi wa Chadema anaongoza vituo 27 kati ya 28 mpaka sasa

Katika vituo vingine na kura za wagombea katika mabano ni
Azimio 1, Chadema (124), CCM (23),
Azimio 2, Chadema (72), CCM (62),
Azimio 3 Chadema (88), CCM (49),
Azimio 4, Chadema (72), CCM (55),
Azimio 5, Chadema (72), CCM (62).

Katika kituo cha Paradise 1, Chadema (64), CCM (62),
Paradise 2, Chadema (94), CCM (55),
Paradise 3, Chadema (100), CCM (68),
Paradise 4, Chadema (94), CCM (63),
Majengo Chadema (73), CCM (65),
Makanyagio 1, Chadema (64), CCM (63),
Makanyagio 2, Chadema (86), CCM (59).
Makanyagio 3, Chadema (103), CCM (73),
Makanyagio 4, Chadema (92), CCM (64),
Makanyagio 5, Chadema (88), CCM (69),
Isikama 1, Chadema (90), CCM (67),
Isikama 2, Chadema (108), CCM (78),
Isikama 3, Chadema (90), CCM (73).

Saafi sana CHADEMA. Hili jimbo piga ua tunalichukua. CCM walie tu!!!!!!!!!!!!!!!!
Nasubiri kwa hamu kuona kama haya MATOKEO yata-tally na yale ya NEC!
Je,NEC wataendelea na mchezo wao wa kuchakachua au wamejifunza kutokana na upuuzi wao wa 31 Oktoba?
Tusubiri.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom