King kingo
JF-Expert Member
- Sep 6, 2010
- 401
- 26
Hizo ndio njama zao za kutaka kuchakachua maana sehemu nyingine tulikuwa tunaambiwa wamegoma kusign kumbe wanarekebisha mambo yao naona na yeye anataka kutumia mbinu hizo hizo
hakuna matokeo rasmi mpakasasa,na mdahuu kunamvua kubwa sanasana inanyesha sina hata pakujibanza narowana namvua,na police nao wanaanza kuharas watu ili watawanyike wamtangaze mgombea wao wa ccm,ila peoples power imesimama imara,hawaogopi lolote, mvua wala police.
Asante sana mwanakijiji, hujui ni kiasi gani nateseka kusuburi matokeo haya, asante kwani umekuwa more concrete kwa kuja na data hizo, kama utaendelea kupata update please keep on posting. You are the reason I am still awake
asante sana God bless those who sufferes for this national
Tunamshukuru mungu wametanganza rasmi tume na sasa tuko hapa kwa mbungewetu said arfi tunashangilia arfi ameshinda kwa kura 50 tu haya sasa nimatokeo rasmi. Mungu mkubwa ashukuriwe amin
Asanteni wana Mpanda - wao wana pesa na dola, sisi tuna Mungu na haki.Tunamshukuru mungu wametanganza rasmi tume na sasa tuko hapa kwa mbungewetu said arfi tunashangilia arfi ameshinda kwa kura 50 tu haya sasa nimatokeo rasmi. Mungu mkubwa ashukuriwe amin
Tunamshukuru mungu wametanganza rasmi tume na sasa tuko hapa kwa mbungewetu said arfi tunashangilia arfi ameshinda kwa kura 50 tu haya sasa nimatokeo rasmi. Mungu mkubwa ashukuriwe amin
Asanteni wana Mpanda - wao wana pesa na dola, sisi tuna Mungu na haki.
mwawando nakupa live bila chenga msimamiz wa uchaguz wa mpanda mjini ameshamtangaza SAID AMOUR ARFI KUWA NDIE MBUNGE MTEULE WA MPANDA MJINI NAmdahuu wanampanda wanashangiliaKuna habari kuwa Mh. Said Amour Arfi wa Chadema amepata Jumla ya kura 8887 na mpinzani wake Ndg. Sebastian Simon Kapufi kutoka CCM amepata Jumla ya kura 8019 na matokeo yamekwishatangazwa lakini Bw.Kapufi ameyakataa.Habari kutoka Nkenge zinasema kuwa Mama Asumptha Nshunju Mshama wa CCM amekuwa mshindi wa Jimbo la Nkenge.
Tunamshukuru mungu wametanganza rasmi tume na sasa tuko hapa kwa mbungewetu said arfi tunashangilia arfi ameshinda kwa kura 50 tu haya sasa nimatokeo rasmi. Mungu mkubwa ashukuriwe amin
that what am talking about:smile-big:
wihanzi sherehekea sasa,matoke rasmi yametangazwa na tume kama dkk20 tu zilizopita,chadema wameshinda kwakura 50tu,sasa tupo eneo lamadukani kama mita mia200 hivi hivi kutoka kwenye nyumba yapinda ndipo nyumbani kwambungewetu tunasherekea mpaka asubuh,
[/quote][quoteihanzi;1262451]mwera what a news???? Natamani ningekuwa hapo nami nasherekea, maana ushindi huo unaongeza presence ya chadema nyanda za juu kusini ikizingatiwa kuwa unafuta kabisa ile dhana ya chadema ni cha kikabila na kidini. Zaidi ya yote huyu ni moja ya viongozi wetu chadema. Sasa inakamilisha safu ya viongozi wote wakuu kuwa wabunge ukiacha dr. Japo naye ni mshind on his own way
good news wihanzi ninafuraha kupitakiasi,nilikuambia usilale nitakupa data second by second ila kaka wenzangu 3 wako lok up yapolice wakat wanatutisha wakaanzakamata kamata,nilikua napost huku nakimbia namvua inanyesha,ila ndio ukomboz ulivyo,mm nafata style ya wapalestina no retreat no surender,tumshukuru mungu sasa tunaserebuka hapa kwambunge wetu nanyimbo zaukombozi,hakuna kurarah.
Asante sana. You have my sincere thanks (kwa mimi mtoka nyanda za juu kusini