Tony Almeda
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 397
- 122
Wadau kile chuma cha pua kinachogwaya na magamba kiko njiani kuelekea uwanja wa mapambano Igunga.
Habari kutoka vyanzo vya kuaminika zinasema mara baada ya kugundua kuendelea kudhoofika kwa CCM huko igunga CHADEMA imeamua kupeleka kuanzia leo, Jumatano kikosi maalum cha kampeni.
Jeshi hili litaongozwa na ZITTO KABWE, GODBLESS LEMA, JOHN MNYIKA NA HALIMA MDEE. Wakuu hapa magamba kwisha kazi!!
SOURCE: MWANAHALISI Sept 21