Amini usiamini sikio la kufa halisikii dawa, chadema ya umbuka katika kutaka kushawishi uma ukae kwenye Mvua wiki moja. Wana Arusha wana Mapinduzi wasema no no no wakubali kutii amri halali ya serikali na kukubali kwenda kuendelea na ujenzi wa Taifa.
Sheria kufuata mkondo hivi punde kwa kuwakamata wahusika na kuwapeleka kunako husika kwa kuchochea uvunjifu wa amani na huko kutakuwa na kusaga meno
Loooo! Huyu ni kiongozi gani, kila abunilo lashindikana si AJIUZULU.
nINGEKUWA mH sLAA ningejiuzulu mara moja, lakini huyu dikiteta hata kwa bunduki hajiuzulu. Inabidi ashikwe yeye na kuswekwa ndani.
Amini usiamini sikio la kufa halisikii dawa, chadema ya umbuka katika kutaka kushawishi uma ukae kwenye Mvua wiki moja. Wana Arusha wana Mapinduzi wasema no no no wakubali kutii amri halali ya serikali na kukubali kwenda kuendelea na ujenzi wa Taifa.
Sheria kufuata mkondo hivi punde kwa kuwakamata wahusika na kuwapeleka kunako husika kwa kuchochea uvunjifu wa amani na huko kutakuwa na kusaga meno
Watu wa Arusha wana akili sana. Hawataki upuuzi wa viongozi wa vyama uchwara. Ni wachapa kazi.
Unahangaika nini? Membe keshasema mkataba hautasainiwa hata iweje!...Chadema ni chama cha msimu, msimu wake unakaribia kuisha.
Ni dhahiri kwamba yanayoendelea Arusha yatakuwa na madhara kwa cdm aidha chanya ama hasi. Je kitendo cha viongozi wa Chadema kuwashawishi wananchi kinyume cha utaratibu na kusababisha adha na usumbufu katika maisha ya watu haiwezi kuwa ndio mwanzo wa kupotea kwenye siasa kama ilivyowahi kutokea kwa vyama kama nccr na cuf?
Je kuvunja sheria za nchi ama kufanya mambo kinyume na utaratibu ndio umakini?Mnachekesha sana hivyo vyama vilifanya matukio kwa kukurupuka na misukumo yamsisimko cdm kiko makini kinaongozwa na watu makini hivyo kila harakati zinafanywa kwa umakini mkubwa endelea kuona kikipanda na ccm ikishuka usitegemee vinginevyo
Tehe.Chadema ni chama cha msimu, msimu wake unakaribia kuisha.