Katibu mkuu wa CCM Bwana Kinana ameanza ziara kutembelea mikoa yote ya Tanzania kwa ajili ya kufuatilia utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi.
Kutokana na ungwaji mkono na wananchi wa rika zote, CHADEMA kwa makusudi kabisa wamekuwa wanawazomea mawaziri hasa wakati wanapokuwa wanawaeleza wananchi utekelezaji wa ilani ya chama tawala cha CCM.
Nawaomba CHADEMA waache mara moja kutumia mbinu chafu ambazo zinakidhalalisha chama chenyewe na viongozi wote wa CHADEMA
Kutokana na ungwaji mkono na wananchi wa rika zote, CHADEMA kwa makusudi kabisa wamekuwa wanawazomea mawaziri hasa wakati wanapokuwa wanawaeleza wananchi utekelezaji wa ilani ya chama tawala cha CCM.
Nawaomba CHADEMA waache mara moja kutumia mbinu chafu ambazo zinakidhalalisha chama chenyewe na viongozi wote wa CHADEMA